Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza


1. Badala kujikita kwenye mambo ya kufikirika ili kuhalalisha unachokitaka pitia historia hapa:

Israel Gaza war: History of the conflict explained

2. Zingatia palikuwa na option pia ya kuwapeleka Uganda mayahudi hawa kutokea Ulaya na kuwa si kweli kuwa majority walikuwa wao mashariki ya kati.

3. Kwamba Kwanini hili ni la ukombozi?



4. Haipo Siri kuwa Israel inayakalia maeneo ya wapalestina; Israel inalijua hilo, dunia inalijua hilo na hakuna asiyelijua hilo.

5. Iliyobakia leo Palestina imezungushiwa fensi na iko chini ya himaya ya Israeli.

6. Kila kinachotoka, kuingia au kinachoendelea Gaza au West Bank ni kwa hisani ya Israeli.

7. Kwani text book definition ya neno ukoloni ni nini ndugu?

8. Kwani definition text definition ya ukombozi dhidi ya mkoloni ni nini?

9. Kwani ANC, TANU, KANU, MPLA, ZANU PF, au yeyote dhidi ya mkoloni huwa anataka au alitaka nini?

10. HAMAS anapigania ardhi yake na kujitawala kama taifa huru - Palestina.



11. Palestina habagazwi na mataifa, UN na popote ije kuwa wewe ndugu?



12. Kuvitenganisha vita vya HAMAS na vyovyote vya ukombozi ni kutaka kujitoa ufahamu kulazimisha udini usipokuwamo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…