Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Hapa ndio pana uhondo wenyewe. Hao walio orodheshwa dah... kama kuna dua mbaya watu wanaombewa vile🤣😂😅🙏Wachawi wamvimbishe tumbo @FaizaFoxy au wamkate kichwa @Lucas mwashambwa , au wampige busha @THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli @ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Ni kama sumaku, watakimbiana.Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Kila siku (24 hours) giza huishinda Nuru, na Nuru hulishinda giza. Inategemea perception yako tu...Giza haliwezi kuishinda Nuru.
Mtu asbh asbh anaandika ujinga 🤣Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
science imeikuta dunia ipo tu na utarataibu wake.Hakuna kitakachotokea
Hakuna uchawi duniani
Wala hakuna mungu duniani
Sayansi ndio inaendesha dunia .
Kabla ya sayansi dunia iliendeshwa na nini? Je sayansi ni nishati?Hakuna kitakachotokea
Hakuna uchawi duniani
Wala hakuna mungu duniani
Sayansi ndio inaendesha dunia .
Halafu wee mwmba mshirikina kinomaWachawi watashinda Hilo game
Kiranja Mkuu fitofito, syukuspyaka, chundumila mkubwa. Ni Dkt Samia tu 2025!Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Walokole watashindwa lakini watachukua ushindi kwa vigezo vya maandishi ya kwenye bible.Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Sayansi bado inakua haijafika mwisho thus Haina uwezo wa kujibu maswali mengineHakuna kitakachotokea
Hakuna uchawi duniani
Wala hakuna mungu duniani
Sayansi ndio inaendesha dunia .
Hakuna mlokole konki hata mmoja mmoja hapo na mashindano ya wachawi formula zake sio hizo labda useme mazingaombweShindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.