Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Itabidi uandaliwe uwanja mkubwa sana, kuliko bahari
 
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Wachawi 🤣🤣
 
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
WACHAWI HUWA WAKIANGALIA DUNIANI HUWA HAWAWAONI WALOKOLE...

WALOKOLE SIO WATU WA DUNIA HII HAYA MANENO YAMENUKULIWA KWA EX_FORMER FRIMASON VEMPIRE CHIEF IN COMMAND

HII VITA KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HAKUNA WACHAWI,JINI,MIZIMU HAKUNA AMBAE YUPO JUU YA HILI JINA KWA HAO TAJWA HAPO JUU..
 
WACHAWI HUWA WAKIANGALIA DUNIANI HUWA HAWAWAONI WALOKOLE...

WALOKOLE SIO WATU WA DUNIA HII HAYA MANENO YAMENUKULIWA KWA EX_FORMER FRIMASON VEMPIRE CHIEF IN COMMAND

HII VITA KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HAKUNA WACHAWI,JINI,MIZIMU HAKUNA AMBAE YUPO JUU YA HILI JINA KWA HAO TAJWA HAPO JUU..
Mkuu shetani ni ndugu moya na mchawi! Hilo jina la yeasu sio issue! Shetani hamuogopi hata mungu mwenyewe! Shetani akimuangalia yesu ni kama mtoto wa mjomba na shangazi.
 
WACHAWI HUWA WAKIANGALIA DUNIANI HUWA HAWAWAONI WALOKOLE...

WALOKOLE SIO WATU WA DUNIA HII HAYA MANENO YAMENUKULIWA KWA EX_FORMER FRIMASON VEMPIRE CHIEF IN COMMAND

HII VITA KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HAKUNA WACHAWI,JINI,MIZIMU HAKUNA AMBAE YUPO JUU YA HILI JINA KWA HAO TAJWA HAPO JUU..
Wee Kuhani Musa anasema kila siku akifa asiende kuzikwa Moshi ataliwa na wachawi
 
Hiki ulichoandika kilishawahi kutokea huko misri, wakati wa farao. Farao aliwaita wachawi wake wote na wenye busara wapambane na musa na haruni, lakini hao wachawi walishindwa tena kwa aibu.

N.B: usidanganyike, Mungu hadihakiwi.
soma hapa;


Kutoka 7:8-13
[8]BWANA akanena na Musa na Haruni, akawaambia,

[9]Farao atakaponena nanyi, na kuwaambia, Jifanyieni miujiza; ndipo utakapomwambia Haruni, Shika fimbo yako, uibwage chini mbele ya Farao, ili iwe nyoka.

[10]Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya vivyo kama BWANA alivyowaambia; Haruni akaibwaga fimbo yake chini mbele ya Farao, mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka.

[11]Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi; na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.

[12]Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.

[13]Moyo wa Farao ukawa ni mgumu asiwasikize; kama BWANA alivyonena.

Sasa unaweza kuona hapo hilo shindano ni upande upi ulishinda, ndivyo ilivyo hadi leo, giza haliwezi kuishinda nuru kamwe.
Hiyo ni story ya kutunga tu
 
Atokee mdhamini adhamini hili pambano. Lifanyike pale Kwa Mkapa na liwe na Kiingilio. Tena lifanyike siku ambayo ni weekend ili wengi tushuhudie.

Azam TV wanunue haki ya kurusha live kwenye Runinga. Kisha na wao wawauzie haki hizo Supersport, BBC, etc.
Itapendeza zaidi Sky News wanunue haki ya kurusha mubashara ili dunia ijionee makuu yake
 
Mbona Kwa Yesu ni mambo madogo sana Hayo. Nahisi wewe huna imani. Kama Mungu alifungua njia katikati ya bahari kubwa,hiyo kumshusha mchawi angani mbona hata mtoto wa Sunday school anamudu😄. Na kingine Mungu ndiye aliyeumba vyote pamoja na hao wachawi hawana nguvu yoyote mbele ya Mungu.
Nasikia Yesu amerudi, yuko Korea Kusini kishatengeneza makabila 12 ya Israel, wanafunzi 12, milango 12
 
Back
Top Bottom