Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
- Thread starter
- #61
Kisha sanda gemuKiranja Mkuu fitofito, syukuspyaka, chundumila mkubwa. Ni Dkt Samia tu 2025!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisha sanda gemuKiranja Mkuu fitofito, syukuspyaka, chundumila mkubwa. Ni Dkt Samia tu 2025!
Asubuhi asubuhi umesoma ujinga. Jinga kweli wewe.Mtu asbh asbh anaandika ujinga 🤣
Kiranja Mkuu nasikia eti unahitaji kadi ya chama cha Mapinduzi nikuletee?Kisha sanda gemu
Chama Cha MASHOGA.Kiranja Mkuu nasikia eti unahitaji kadi ya chama cha Mapinduzi nikuletee?
Shetani mwili au shetani roho?Hence proven..
Shetani ni mkubwa kuliko Mungu
Shetani ni mkongwe kuliko Mungu
Kwa walokole hawa Wachawi watashindaShindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Wachawi wanatii kanuni zq aliyewtuma. While walokole wengi wapo kimaslahiShindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.
Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.
Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
🤣🤣Asubuhi asubuhi umesoma ujinga. Jinga kweli wewe.
Muhuni mukubwa, utarogwa kijanaChama Cha MASHOGA.
Hicho chama chenu mufilisi, hata hakikielewi kinasimamia misingi ipi?
Je ni chama cha kijamaa?
Je ni chama cha wakulima na wafanyakazi bado?
Na wewe tunga ya kwako wachawi wakishindaHiyo ni story ya kutunga tu
Bila giza utaijuaje nuru na bila nuru utajuaje giza[emoji848]Giza haliwezi kuishinda Nuru.
Kipi kinajibu maswali yote ,ukiachana na kofia ya imani.Sayansi bado inakua haijafika mwisho thus Haina uwezo wa kujibu maswali mengine
[emoji23][emoji23]Na wewe tunga ya kwako wachawi wakishinda
Wee jamaa smart sana, giza ndio asiliKila kitu ni giza, nuru huondoa giza kwa muda, ndio maana nuru ikiondoka giza linakuwepo.
Giza ni kongwe kuliko nuru.
Giza ni kubwa kuliko nuru
Amekabwa.Hence proven..
Shetani ni mkubwa kuliko Mungu
Shetani ni mkongwe kuliko Mungu
Dini ilishafunga elimu zoteKipi kinajibu maswali yote ,ukiachana na kofia ya imani.
AyaDini ilishafunga elimu zote