Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Mimi siwezi kuongea, anayeongea ni Yesu, hata hao wachawi sio wao, bali ni shetani.[emoji23][emoji23]
Mkuu lazima mkaangwe tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo ya misri niyauongo.
Huwezi ukaongea wewe kama mchawi yupo kazini[emoji1787][emoji1787].
Sasa jiulize mkubwa kati ya Mungu na shetani ni nani.