Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
WagangaHuu mpambano masheikh wale akina ,sherif majini wanaingia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WagangaHuu mpambano masheikh wale akina ,sherif majini wanaingia wapi?
HahahahahaWaganga
Sayansi hii hii inayoshindwa kuleta ufumbuzi hata wa dawa ya kisukari??Hakuna kitakachotokea
Hakuna uchawi duniani
Wala hakuna mungu duniani
Sayansi ndio inaendesha dunia .
Kienyeji kisukari kinatibikaSayansi hii hii inayoshindwa kuleta ufumbuzi hata wa dawa ya kisukari??
Hapa ndio pana uhondo wenyewe. Hao walio orodheshwa dah... kama kuna dua mbaya watu wanaombewa vile🤣😂😅🙏
Hapa ndio pana uhondo wenyewe. Hao walio orodheshwa dah... kama kuna dua mbaya watu wanaombewa vile🤣😂😅🙏
Ndio unazidisha utamu.Wewe Jemima hebu acha roho mbaya yako mpenzi wangu,Yani mumeo unaniombea kabisa nipewe busha?
Sasa nitakupaje utamu na huo mzigo unaoniombea nao?
Sijapenda Jemima
Umezijuaje ACED wakati haipo kwenye vitabu vya Dini na Imani za Wazi.Yeyeto mwenye ACD kubwa ndie atashinda.
ACD ni kipimo Cha nguvu ya Imani aliyonayo mtu.
Ukubwa wa ACD inategemea na jinsi gani ulivyojiconnect na upande uliopo.
Ukijifungia kwenye elimu ya dini tu huwezi mshinda shetani,Umezijuaje ACED wakati haipo kwenye vitabu vya Dini na Imani za Wazi.
Au wewe ni Satanist dini ?
Nimekukubali upo vizuri sana.Ukijifungia kwenye elimu ya dini tu huwezi mshinda shetani,
Mnh!
Hawaonekani , kivipi ,elezea ?WACHAWI HUWA WAKIANGALIA DUNIANI HUWA HAWAWAONI WALOKOLE...
WALOKOLE SIO WATU WA DUNIA HII HAYA MANENO YAMENUKULIWA KWA EX_FORMER FRIMASON VEMPIRE CHIEF IN COMMAND
HII VITA KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HAKUNA WACHAWI,JINI,MIZIMU HAKUNA AMBAE YUPO JUU YA HILI JINA KWA HAO TAJWA HAPO JUU..
NakaziaGiza haliwezi kuishinda Nuru.