Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Hapa ndio pana uhondo wenyewe. Hao walio orodheshwa dah... kama kuna dua mbaya watu wanaombewa vile🤣😂😅🙏

Wewe Jemima hebu acha roho mbaya yako mpenzi wangu,Yani mumeo unaniombea kabisa nipewe busha?

Sasa nitakupaje utamu na huo mzigo unaoniombea nao?

Sijapenda Jemima...
 
Hapa ndio pana uhondo wenyewe. Hao walio orodheshwa dah... kama kuna dua mbaya watu wanaombewa vile🤣😂😅🙏

Wewe Jemima hebu acha roho mbaya yako mpenzi wangu,Yani mumeo unaniombea kabisa nipewe busha?

Sasa nitakupaje utamu na huo mzigo unaoniombea nao?

Sijapenda Jemima
 
Yeyeto mwenye ACD kubwa ndie atashinda.
ACD ni kipimo Cha nguvu ya Imani aliyonayo mtu.
Ukubwa wa ACD inategemea na jinsi gani ulivyojiconnect na upande uliopo.
Umezijuaje ACED wakati haipo kwenye vitabu vya Dini na Imani za Wazi.
Au wewe ni Satanist dini ?
 
WACHAWI HUWA WAKIANGALIA DUNIANI HUWA HAWAWAONI WALOKOLE...

WALOKOLE SIO WATU WA DUNIA HII HAYA MANENO YAMENUKULIWA KWA EX_FORMER FRIMASON VEMPIRE CHIEF IN COMMAND

HII VITA KWA JINA LA YESU NA DAMU YA YESU HAKUNA WACHAWI,JINI,MIZIMU HAKUNA AMBAE YUPO JUU YA HILI JINA KWA HAO TAJWA HAPO JUU..
Hawaonekani , kivipi ,elezea ?
 
Wachawi watashinda maana ndani ya walokole kuna wachawi kibao.
 
Mwamposa na kiboko ya wachawi wawe upande wa wachawi wenzao tu
 
Back
Top Bottom