Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Mbona Kwa Yesu ni mambo madogo sana Hayo. Nahisi wewe huna imani. Kama Mungu alifungua njia katikati ya bahari kubwa,hiyo kumshusha mchawi angani mbona hata mtoto wa Sunday school anamudu😄. Na kingine Mungu ndiye aliyeumba vyote pamoja na hao wachawi hawana nguvu yoyote mbele ya Mungu.
 
Hakuna kitakachotokea
Hakuna uchawi duniani
Wala hakuna mungu duniani
Sayansi ndio inaendesha dunia .
Endelea kujidanganya. Kwahiyo uimbajibwa wanadamu na viumbe vingine na vitu vyote vilifanyika maabara? Ukiendelea na akili hii utaishia pabaya ndg.
 
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Atokee mdhamini adhamini hili pambano. Lifanyike pale Kwa Mkapa na liwe na Kiingilio. Tena lifanyike siku ambayo ni weekend ili wengi tushuhudie.

Azam TV wanunue haki ya kurusha live kwenye Runinga. Kisha na wao wawauzie haki hizo Supersport, BBC, etc.
 
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.

Hiki ulichoandika kilishawahi kutokea huko misri, wakati wa farao. Farao aliwaita wachawi wake wote na wenye busara wapambane na musa na haruni, lakini hao wachawi walishindwa tena kwa aibu.

N.B: usidanganyike, Mungu hadihakiwi.
soma hapa;


Kutoka 7:8-13
[8]BWANA akanena na Musa na Haruni, akawaambia,

[9]Farao atakaponena nanyi, na kuwaambia, Jifanyieni miujiza; ndipo utakapomwambia Haruni, Shika fimbo yako, uibwage chini mbele ya Farao, ili iwe nyoka.

[10]Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya vivyo kama BWANA alivyowaambia; Haruni akaibwaga fimbo yake chini mbele ya Farao, mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka.

[11]Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi; na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.

[12]Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.

[13]Moyo wa Farao ukawa ni mgumu asiwasikize; kama BWANA alivyonena.

Sasa unaweza kuona hapo hilo shindano ni upande upi ulishinda, ndivyo ilivyo hadi leo, giza haliwezi kuishinda nuru kamwe.
 
Yeyeto mwenye ACD kubwa ndie atashinda.
ACD ni kipimo Cha nguvu ya Imani aliyonayo mtu.
Ukubwa wa ACD inategemea na jinsi gani ulivyojiconnect na upande uliopo.
Yes..kama dunia inavyoelea ikitegemea nguvu 2 kinzani, hasi na chanya, hata sisi binadamu hatuna chaguo zaidi ya kutumikia nguvu mojawapo!
Hakuna binadamu hana upande!

Chochote utakachoamini ndani yake kuna hasi na chanya ziko 50%/50%. Ndio maana hakuna mtu anaependa kujitumikia yeye isipokuwa nafasi yake (kule alikovutwa)

Mtu anaejitahidi kujitumikia hiyo kazi/nafasi haipendi, kuna kitu kinamvuta!
Shehe ndevu mfiraji!
Baba askofu mchawi!
Jambawazi anasaidia sana watu!
 
Ishapigwaga hyo battle kati ya MUNGU wa Elia na miungu ya baali, wachawi wale walicheza manyanga yote lakini hamna kitu, kisha Mungu wa Elia(walokole) akamaliza ile kesi.
 
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine.

Wachawi wamvimbishe tumbo FaizaFoxy au wamkate kichwa Lucas mwashambwa , au wampige busha THE BIG SHOW, au wamuoteshe kipara kama cha Magufuli ChawaWaMama halafu walokole wauondoe huo uchawi hawa watu warudi kwenye ukawaida wao.

Pia wachawi watuoneshe wanavyopaa halafu wakiwa angani walokole wapige maombi yao hadi nyungo za wachawi zidondoke kama zinavyodondoka kwenye mapaa ya kanisa.
Wachawi watashinda. Walokole labda washinde njaa
 
Kwenye biblia hilo shindano lilishafanyika wakati wa Nabii Elisha,,na kilichotokea kilikuwa wazi na kinajulikana...rejea kitabu cha mambo ya Nyakati.....Kwa hapa Dar es Salaam hawa nitakaowataja ni washirikina::-Mwamposa,,,Suguye,,,mwingira,,kakobe,,,kuhani musa..nje ya dar kuna geo davi,,,yule mama mchafu chafu wa mwanza anaejiita mungu baba na machawi mengine yaliojificha kwenye kivuli cha kanisa..Hawa wanafanana na Temitope Balogun Joshua marehemu,,,Na tukumbushane tu Kanisa la temitope lilivunjika likauwa watu 3000,,,juzijuzi kenya wamekufa 500 kwa mtume na nabii ezekieli,,kwa hapa kwetu mwamposa alishaanza kidogo kaua 10 tu lakini naamini kwamba kilichompata boko na hata mamba kitampata.....Makanisa sahihi ya kwenda hapa dar nitataja baadhi kwa yale maarufu...Mbezi Bcic,,dar es salam pentecostal church,,Kijichi kwa mitomingi,,Mafundisho ya mwakasege..Na wengine wasio maarufu ila walio wakweli na sio washirikina na watafuta pesa...
 
Back
Top Bottom