Yale makelele yote ya mjini ameyazima Rais Samia

Yale makelele yote ya mjini ameyazima Rais Samia

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Baada ya ndugu zetu uto kufanikiwa kushinda ubingwa wa medali na kisha kualikwa chakula cha jioni na Rais Samia.

Makelele yalikuwa mengi ohhhhh tumealikwa na mama sisi ndio timu ya taifa mablabla mengi.

Baada ya kula ubwabwa na kupongezana kwa sana, sherehe ikaharibika mwishoni kabisa.

Nendeni mkalitizame hili suala la huyu kijana (Fei) hapa kila mwana uto akaanza kuguna huyu mama vipi tena?😁😁😁

Safari za ndege kwenda na kurudi bure, mualiko Ikulu bure, pilau bure, Ic ikulu bure, muziki ikulu bure, malipo yake ndio fei sasa kaeni kwa kutulia 😆😆😆😆😆.
 
Mama kashasema mkalitizame haraka mumpe mrejesho ndani ya siku tatu ( kiutu uzima)

Kama nilivyosema, ni jambo jepesi zaidi ya kuifunga Azam, why? Hatutoi hela, na Fei sio kwamba alikuwa kikosini tutakosa balance.

The thing ni kwamba hatuwezi mpa masharti magumu, kwa hiyo iwe isiwe sisi tupo kwenye mazingira ya kupokea hela (ingawa kidogo) na hatuna hasara.
 
wala usihofu yanfa itasimia kanuni kwenye suluhu,auzwe,alipe fidia au arudi yanga
Si alitoa fidia ya kuvunja mkataba mkaikataa, sasa anarudi na pesa hiyo hiyo ya kuvunja mkataba na Hersi atamwachia ki ulaini kabisa.

Kumbuka kuna remote control ya Hersi ambayo ni Ghalib,yeye anahitaji kuwa karibu na mamlaka za juu za Nchi.

Trust me Fei ataondoka kwa kuvunja mkataba kwa pesa hiyo hiyo mliyoikataa mwanzoni.

Ghalib na Hersi wanajua uzito wa "ombi la Rais wa JMT".
 
The thing ni kwamba hatuwezi mpa masharti magumu, kwa hiyo iwe isiwe sisi tupo kwenye mazingira ya kupokea hela (ingawa kidogo) na hatuna hasara.

Walau wewe umeukubali ukweli na umetambua uzito wa 'ombi' la Mama.
 
Baada ya ndugu zetu uto kufanikiwa kushinda ubingwa wa medali na kisha kualikwa chakula cha jioni na Rais Samia.

Makelele yalikuwa mengi ohhhhh tumealikwa na mama sisi ndio timu ya taifa mablabla mengi.

Baada ya kula ubwabwa na kupongezana kwa sana, sherehe ikaharibika mwishoni kabisa.

Nendeni mkalitizame hili suala la huyu kijana( fei) hapa kila mwana uto akaanza kuguna huyu mama vipi tena?[emoji16][emoji16][emoji16]

Safari za ndege kwenda na kurudi bure, mualiko ikulu bure, pilau bure, Ic ikulu bure, muziki ikulu bure, malipo yake ndio fei sasa kaeni kwa kutulia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Kwa akili yako wee kolo unadhani Yanga walikuwa na mpango wa kuendelea na Fei?Yanga walitaka utaratibu ifuatwe tu....unadhani ingekuwaje kama viongozi wangeamua kuachana nae kiholela nyie makolo si mngesema timu inaendeshwa kisela na wachezaji hawana mikataba?tuliza akili kolo...ule ulikuwa mpango maalum kolo Ili dogo aachwe Ili makolo na mashabiki maandazi muone ni agizo la Rais na sio matakwa ya viongozi wa Yanga......!
 
Si alitoa fidia ya kuvunja mkataba mkaikataa, sasa anarudi na pesa hiyo hiyo ya kuvunja mkataba na Hersi atamwachia ki ulaini kabisa.

Kumbuka kuna remote control ya Hersi ambayo ni Ghalib,yeye anahitaji kuwa karibu na mamlaka za juu za Nchi.

Trust me Fei ataondoka kwa kuvunja mkataba kwa pesa hiyo hiyo mliyoikataa mwanzoni.

Ghalib na Hersi wanajua uzito wa "ombi la Rais wa JMT".
Kwa halmashauri ya akili yako fei ana thamani ya milioni 100? Icho unachokitegemea wewe na wenzako akitokaa kitokee, fei thamani yake sio chini ya 350milioni, kwa maana iyo yeye fei ndiye anatakiwa alimalize kwa kwenda kutajiwa dau lake alipe asepe zake na sio vinginevyo
 
Kinachokera ni Bernad Morrison kuingia ikulu ya Tanzania.

Hovyo kabisa, Sijui washauri wa Raisi ni akina Nani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna watu mna roho mbaya sana wallahi[emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu kaitwa hajasimama..ila amesimamishwa clement akasimama yeye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Kwa halmashauri ya akili yako fei ana thamani ya milioni 100? Icho unachokitegemea wewe na wenzako akitokaa kitokee, fei thamani yake sio chini ya 350milioni, kwa maana iyo yeye fei ndiye anatakiwa alimalize kwa kwenda kutajiwa dau lake alipe asepe zake na sio vinginevyo
Hii ni option ya 4 iliyotakiwa isemwe mapema siyo zile tatu za aje aongezewe maslahi, aje amalizie mkataba, club inayomtaka ije.
 
Kwa halmashauri ya akili yako fei ana thamani ya milioni 100? Icho unachokitegemea wewe na wenzako akitokaa kitokee, fei thamani yake sio chini ya 350milioni, kwa maana iyo yeye fei ndiye anatakiwa alimalize kwa kwenda kutajiwa dau lake alipe asepe zake na sio vinginevyo
Nimeona sana unaandika mil.350...unaijua kwanza hio hela?? Usawahi kuishika?

Hata kama ushawahi kuishika...unajua thamani ya wachezaji inatokana na nini??

Au mnapenda tuu kujisemeasemea tuu muonekane mmesema??

Thamani ya mchezaji sio tu kujisemea mdomoni..kuna mengi ndani yake.

Wachezaji wa bongo hawajui hata thamani zao kwa sababu hawajui vingi kwenye mpira.

Unajua mil. 350 ni sawa na dola ngapi?

Ina maana feisal amemzidi thamani garnacho?

Acheni utani[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Si alitoa fidia ya kuvunja mkataba mkaikataa, sasa anarudi na pesa hiyo hiyo ya kuvunja mkataba na Hersi atamwachia ki ulaini kabisa.

Kumbuka kuna remote control ya Hersi ambayo ni Ghalib,yeye anahitaji kuwa karibu na mamlaka za juu za Nchi.

Trust me Fei ataondoka kwa kuvunja mkataba kwa pesa hiyo hiyo mliyoikataa mwanzoni.

Ghalib na Hersi wanajua uzito wa "ombi la Rais wa JMT".
Umeimaliza mkuu...ombi la rais ni Amri..utopolo ubwabwa wanauona mchungu😂😂
 
Back
Top Bottom