Kwahiyo mkuu, kama mtu amekushika mkono ndo aendelee kukushika mapema? ingekuwa na vema aondoke ili wengine wainuliwe. Maisha kusaidiana. Kama anaweza kusimama kwa miguu yake yampasa atembee.
Najitahidi kutafuta mfanano wa mifano yako kwa konde boy na hao wengine, ila sipati.
Halafu watu hutofautiana. Wanavyopotea wengine sio lazima na wengine wapotee.
Teh teh..Safi bro..Zaidi ya jana..Kwema saana. Ile biashara inakwendaje
HahahaaHuyo dogo nilikua namkubali sana lakin baada ya kuimba nyimbo kuhusu magufuli sitaki hata kumskia na nyimbo zote kwenye flash zinazomhusu nimezifuta na sasa namuombea mikosi kama nilivyoomba kwa mzee wa upako saivi amebakia kichwa tu ajifie.
nnachoamini WCB ndiyo ilyomrudisha rich kwenye raman ya mziki alikuwa ashapotea kitambo mpaka kuwa chini ya king kakaUshauri mzuri sana huu
Ila kwa Rich Mavoko sijui alifeli wapi alikuwa msanii bora angepambana kiume kama kina Joh Makini, Nikki wa pili etc etc ila sijui uwoga ulimkuta wapi akaamua kujiunga Wasafi sasa ametoka mambo bado atafute meneja mzuri atatoboa tu rich mavoko
Kajiharibia kwa nani mkuu?Nahivi majuzi amemsifia jiwe ndo amezidi kujiharibia.
Hehe..Diamond hakufanya hayo? hamkutukana kama mnavyotukana leo? mziki wake hamuusikilizi? mnadhani hao wasanii ni misukule hawana mengine nje ya music? upuuzi..Mimi nadhani kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la kujishikamanisha na siasa. Amepata sifa za upande mmoja kwa muda mfupi hadi jana akapata air coverage TBC. Lakini matokeo ya usanii huo atayaona baada ya muda si mrefu.
Asingekuwa hapo alipo! Yaani asingepata mafanikio hayo aliyonayo!Mara mia asingejiunga WCB.
Mbona diamond mwaka flani aliipigia kampeni ccm lakini bado anatamba.Mimi nadhani kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la kujishikamanisha na siasa. Amepata sifa za upande mmoja kwa muda mfupi hadi jana akapata air coverage TBC. Lakini matokeo ya usanii huo atayaona baada ya muda si mrefu.
Kuondoka WCB sio tatizo..ila isiwe kwa maneno na kuvimbishwa kichwa na mashabiki...yani aondoke for good,labda wamekaa na uongozi halafu wakamwambia bwana harmonize tumeshakubeba vya kutosha na sasa umekuwa..ni time now uwapishe wengine tuwashike mkono na wewe pia kaanzishe kitu chako uwavute na wengine....kwa mnasaba huu itakuwa haina shida na upendo,heshima na support baina yao itaendelea kuwepo. Ila akijichanganya kwa kuanza kumvimbia Diamondplatnumz na kuanza kujiona yeye ndo big,nazani wataenda kukaa kijiwe kimoja na rich mavoko wapige kahawa...!Kwahiyo mkuu, kama mtu amekushika mkono ndo aendelee kukushika mapema? ingekuwa na vema aondoke ili wengine wainuliwe. Maisha kusaidiana. Kama anaweza kusimama kwa miguu yake yampasa atembee.
Najitahidi kutafuta mfanano wa mifano yako kwa konde boy na hao wengine, ila sipati.
Halafu watu hutofautiana. Wanavyopotea wengine sio lazima na wengine wapotee.
Mzee inaonekana unajua mziki yaani umemaliza kila kitu.Kuondoka WCB sio tatizo..ila isiwe kwa maneno na kuvimbishwa kichwa na mashabiki...yani aondoke for good,labda wamekaa na uongozi halafu wakamwambia bwana harmonize tumeshakubeba vya kutosha na sasa umekuwa..ni time now uwapishe wengine tuwashike mkono na wewe pia kaanzishe kitu chako uwavute na wengine....kwa mnasaba huu itakuwa haina shida na upendo,heshima na support baina yao itaendelea kuwepo. Ila akijichanganya kwa kuanza kumvimbia Diamondplatnumz na kuanza kujiona yeye ndo big,nazani wataenda kukaa kijiwe kimoja na rich mavoko wapige kahawa...!
Sijui amekwama wapi dogo, ameshawagawa mashabiki zake, so sad.Mimi nadhani kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la kujishikamanisha na siasa. Amepata sifa za upande mmoja kwa muda mfupi hadi jana akapata air coverage TBC. Lakini matokeo ya usanii huo atayaona baada ya muda si mrefu.
[emoji122][emoji122][emoji122]Kuondoka WCB sio tatizo..ila isiwe kwa maneno na kuvimbishwa kichwa na mashabiki...yani aondoke for good,labda wamekaa na uongozi halafu wakamwambia bwana harmonize tumeshakubeba vya kutosha na sasa umekuwa..ni time now uwapishe wengine tuwashike mkono na wewe pia kaanzishe kitu chako uwavute na wengine....kwa mnasaba huu itakuwa haina shida na upendo,heshima na support baina yao itaendelea kuwepo. Ila akijichanganya kwa kuanza kumvimbia Diamondplatnumz na kuanza kujiona yeye ndo big,nazani wataenda kukaa kijiwe kimoja na rich mavoko wapige kahawa...!
dogo amejiua mwenyewe hpo kwa kuonyesha yuko upande usiopendwaMimi nadhani kati ya makosa makubwa aliyofanya ni hili la kujishikamanisha na siasa. Amepata sifa za upande mmoja kwa muda mfupi hadi jana akapata air coverage TBC. Lakini matokeo ya usanii huo atayaona baada ya muda si mrefu.
Now karudi kuabudu upande w kwanza siyo?Umeongea sana
Ila naomba nikusahihishe kwa Mavoco
Mavoco ni mtu anayeamini katika jasho lake sio mtu wa shortcut kama wengine
Mavoco kutoka pale nikwamba hakuweza kuabudu upande wapili.
Shida mnaujua mziki kwa kuangalia nyimbo za wasanii ila hamjui who is behind there back.
Usilolijua[emoji451][emoji89][emoji451][emoji89][emoji451][emoji89]