Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa togwa kwa mama mkude bill ni kwangu bora hata umeona wwHii sio sawa, mashabiki wa Simba katika hili wameonesha umoja wa kitaifa kwa kulaani dhulma ya waziwazi tuliyofanyiwa Yanga dhidi ya Mamelody.
Tusiwadhihaki kwa matokeo yao, wamekuwa waungwana nasi tuwe waungwana.
Mm ni mshabiki wa IHEFU lile goli la 5 tulilofungwa na Yanga halikuvuka mstari the ball didn't cross the line that is to say It's not over until it's over.Huo umoja dada umeona wapi? Wakati wamekiri wazi kabisa kuwa wamefurahia sana maamuzi ya waamuzi maana wangepigiwa kelele hivyo wamefurahi kufanana. Kuna wengine wamekiri ni goli ila wamefurahia maamuzi ya refa. Halafu kuna wengine hawataki kukubali ili tu ionekane Yanga wamestahili kutolewa kihalali kabisa.
Umemsikia Ahmed Ally leo airport??Hii sio sawa, mashabiki wa Simba katika hili wameonesha umoja wa kitaifa kwa kulaani dhulma ya waziwazi tuliyofanyiwa Yanga dhidi ya Mamelody.
Tusiwadhihaki kwa matokeo yao, wamekuwa waungwana nasi tuwe waungwana.
Bloangu mbona lile goli walilokataliwa Kagera Suger na liliingia huku refa akalikataa mkapewa nyie kona?Habari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.
Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.
Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Alafu mleta mada.mchawi wetu huyu hapa.Habari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.
Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.
Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Refa anasema yeye hana kosa mwenye swali awaulize VAR operators. Malipo ni hapa hapa duniani kudadadadeqHabari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.
Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.
Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Na imewaingia haswaaa,, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uto imewauma sana hii..tulieni dawa iwaingie..
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo unaliaa? Futa machozi bhana.Huo umoja dada umeona wapi? Wakati wamekiri wazi kabisa kuwa wamefurahia sana maamuzi ya waamuzi maana wangepigiwa kelele hivyo wamefurahi kufanana. Kuna wengine wamekiri ni goli ila wamefurahia maamuzi ya refa. Halafu kuna wengine hawataki kukubali ili tu ionekane Yanga wamestahili kutolewa kihalali kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda hapo ulipo ndo umezungukwa na wastarabu siyo huku kwingine rafiki yangu.Watu walishangilia goli letu kukataliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee wee,Tulisha waambia vichaka vyote walivyo jifucha tuta uchoma moto na bila upuuzi wa VAR crews awa mbumbumbu kwasasa wangekua hoi.
Ninacho waonea huruma ni kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Yanga, Kuna kitu kibaya kinakwenda kutokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wamevurugwaaaa balaa,Wanaume wazima mmelala toka juzi mnashindwa kupeleka mioto kwa wake zenu kwa stress mnawaza tuu mmekataliwa goli mara sijui nini..mnataka simba ifanyeje si mmetaka wenyewe habari yenu iwe trending wacha tuwatrendishe...
Sio shida zetu kupigwa ndani nje..sisi na nyie mnatofauti gani? Mmeshinda mechi ipi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamjavuka nusu matusi kibao je mngevuka?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie si wajanja.na wenzenu wamewafanyia makusudi