Yalikuwa yanajisifu ni ya kimataifa. Yamepigwa ndani nje sasa yamejificha kwenye dhuluma waliiofanyiwa Yanga

Yalikuwa yanajisifu ni ya kimataifa. Yamepigwa ndani nje sasa yamejificha kwenye dhuluma waliiofanyiwa Yanga

Tulisha waambia vichaka vyote walivyo jifucha tuta uchoma moto na bila upuuzi wa VAR crews awa mbumbumbu kwasasa wangekua hoi.
Ninacho waonea huruma ni kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Yanga, Kuna kitu kibaya kinakwenda kutokea.
 
Hii sio sawa, mashabiki wa Simba katika hili wameonesha umoja wa kitaifa kwa kulaani dhulma ya waziwazi tuliyofanyiwa Yanga dhidi ya Mamelody.

Tusiwadhihaki kwa matokeo yao, wamekuwa waungwana nasi tuwe waungwana.
Kunywa togwa kwa mama mkude bill ni kwangu bora hata umeona ww
 
Pumbavu ,mnajaza servers Tu humu kwa mada zenu za kipumbavu na ushabiki maandazi wa timu zenu za misukule hizo simba na yanga

Mnashinda kujadili mambo ya muhimu yanayogusa nchi na maisha ya watu ,mnakesha kuzungumzia mavi

Ndio maana ccm inaendelea kutawala taifa la misukule na wapumbavu hili miaka na miaka .
Vichwa vikubwa akili kamasi .

Stupid kabisa
 
Wanaume wazima mmelala toka juzi mnashindwa kupeleka mioto kwa wake zenu kwa stress mnawaza tuu mmekataliwa goli mara sijui nini..mnataka simba ifanyeje si mmetaka wenyewe habari yenu iwe trending wacha tuwatrendishe...
Sio shida zetu kupigwa ndani nje..sisi na nyie mnatofauti gani? Mmeshinda mechi ipi??
 
Huo umoja dada umeona wapi? Wakati wamekiri wazi kabisa kuwa wamefurahia sana maamuzi ya waamuzi maana wangepigiwa kelele hivyo wamefurahi kufanana. Kuna wengine wamekiri ni goli ila wamefurahia maamuzi ya refa. Halafu kuna wengine hawataki kukubali ili tu ionekane Yanga wamestahili kutolewa kihalali kabisa.
Mm ni mshabiki wa IHEFU lile goli la 5 tulilofungwa na Yanga halikuvuka mstari the ball didn't cross the line that is to say It's not over until it's over.
 
Funga domo we mke wa mbowe [emoji23]
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Hii sio sawa, mashabiki wa Simba katika hili wameonesha umoja wa kitaifa kwa kulaani dhulma ya waziwazi tuliyofanyiwa Yanga dhidi ya Mamelody.

Tusiwadhihaki kwa matokeo yao, wamekuwa waungwana nasi tuwe waungwana.
Umemsikia Ahmed Ally leo airport??
 
Habari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.

Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.

Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Bloangu mbona lile goli walilokataliwa Kagera Suger na liliingia huku refa akalikataa mkapewa nyie kona?

Mbona timu werevu Kagera hawakuandika barua TFF.

Tulieni dawaa iingie msifurahie matokeo yanayowafurahisha nyie tu,kemeeni vitendo viovu wakati wote
 
Habari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.

Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.

Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Alafu mleta mada.mchawi wetu huyu hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    75.4 KB · Views: 2
Habari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.

Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.

Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Refa anasema yeye hana kosa mwenye swali awaulize VAR operators. Malipo ni hapa hapa duniani kudadadadeq
 
Huo umoja dada umeona wapi? Wakati wamekiri wazi kabisa kuwa wamefurahia sana maamuzi ya waamuzi maana wangepigiwa kelele hivyo wamefurahi kufanana. Kuna wengine wamekiri ni goli ila wamefurahia maamuzi ya refa. Halafu kuna wengine hawataki kukubali ili tu ionekane Yanga wamestahili kutolewa kihalali kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo unaliaa? Futa machozi bhana.
 
Tulisha waambia vichaka vyote walivyo jifucha tuta uchoma moto na bila upuuzi wa VAR crews awa mbumbumbu kwasasa wangekua hoi.
Ninacho waonea huruma ni kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Yanga, Kuna kitu kibaya kinakwenda kutokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee wee,
 
Wanaume wazima mmelala toka juzi mnashindwa kupeleka mioto kwa wake zenu kwa stress mnawaza tuu mmekataliwa goli mara sijui nini..mnataka simba ifanyeje si mmetaka wenyewe habari yenu iwe trending wacha tuwatrendishe...
Sio shida zetu kupigwa ndani nje..sisi na nyie mnatofauti gani? Mmeshinda mechi ipi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa wamevurugwaaaa balaa,
 
Back
Top Bottom