Yalinikuta

endelea sasa usiishie mwisho baadae ikawaje? ulimpa papuch
 
He hee yani unajikuta una hisia kwamtu ila yeye wala hana habari,na kumwambia huwezi basi unapambana na hisia zako ndani kwa ndani....
 
hahahaa ulishindwa kuweka mahali.....aisee navyopenda kula nisingeweza kutupa ........

NB.
sasa huyo jamaa mliishia wapi?
 
He hee yani unajikuta una hisia kwamtu ila yeye wala hana habari,na kumwambia huwezi basi unapambana na hisia zako ndani kwa ndani....
Alishapata namba yangu na tulikuwa tunapigiana simu, ila nilitaka kuwa miss perfect mbele yake.
 
Alishapata namba yangu na tulikuwa tunapigiana simu, ila nilitaka kuwa miss perfect mbele yake.
Sasa bora wewe ulifanikiwa mawasiliano,so hisia bado zipo kwake?

Yuko ndugu yangu alikutana na jamaa hosp kila mmoja alienda kumchek mgonjwa wake. Wakasalimiana bt jamaa akawa hana issue zaidi kwa bibie,ila bibie alichachawa mpaka tukawa na kazi ya kusikiliza story yake kila mda ni jamani yule kaka ni mzuri,yuko hivi na hivi he hee ila tulikoma
 
Huyu sijui yuko wapi lakini nilisika alioa ana familia siku hizi. Yeye pia alikua mwanafunzi, tulikuwa tunapanda wote matreni kwenda mikoa ya kaskazini.
 
Huyu sijui yuko wapi lakini nilisika alioa ana familia siku hizi. Yeye pia alikua mwanafunzi, tulikuwa tunapanda wote matreni kwenda mikoa ya kaskazini.
Alikustukia lakini?
 
Alikustukia lakini?
Ah acha tu, for some reasons nilikuwa ninakatiwa first class au second sleeping kwenda shule, basi usiku mzima unaishia kwenye corridor na mkaka, chumbani nilikua ninaacha begi tu.
 
Ah acha tu, for some reasons nilikuwa ninakatiwa first class au second sleeping kwenda shule, basi usiku mzima unaishia kwenye corridor na mkaka, chumbani nilikua ninaacha begi tu.
Haaa basi ulifaudu...
 
What happened? Au mawasiliano yalipotea?
Miaka ile mawasiliano makubwa yalikuwa barua, baada ya shule labda mchaguliwa wote chuo kimoja. Ilitokea mmoja wetu alikwenda nje ya nchi, basi mawasiliano yaliishia pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…