Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

Wadau, tusameheane kidogo maana kuna tatizo la network kwa muda huu huku Dom. Sijui mkuu Skype kama pia unakumbana na tatizo hilo

duh! na huku Dar (TANESCO) umeme umekati kwa sababu ya mvua kubwa iliyokuwa inanyesha!

"nadhani kuna umuhimu wa kuwa na simcard za mitandao yote, au uongozi wa Bunge ufanye mipango ya kufanya instalation ya Wi-fi"
 
duh! na huku Dar (TANESCO) umeme umekati kwa sababu ya mvua kubwa iliyokuwa inanyesha!

"nadhani kuna umuhimu wa kuwa na simcard za mitandao yote, au uongozi wa Bunge ufanye mipango ya kufanya instalation ya Wi-fi"
Pamoja sana mkuu. Pale abungeni ipo wi-fi ila ina password. Nadhani pia hali ya mawingu inachangia. Maana Dodoma kwa sasa kuna mawingu na leo tumepata mvua majira ya saa nne asubuhi
 
Baadhi ya wabunge wanawake wakifanya kampeni nje ya ukumbi wa bunge kumnadi Samiha Suluhu

image.jpg
 
Mwenyekiti Kificho akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge
image.jpg
 
TBC Taifa live: Lowassa anateta jambo na Ole Sendeka, huku Sitta akiwa anateta jambo na Mohamed Khatib
 
Mchungaji mtikila kama kawaida yake amekaa kwenye kiti chake kile kile cha siku zote.
 
Sasa Ole Sendeka anateta jambo na Kingunge Ngombale Mwiru












-----

Hahaha......updates: mwenyekiti anaomba utulive....Tangazo la Uchaguzi wa M/mwenyekiti linatolewa na Msimamizi wa Uchaguzi
 
Suluhu katajwa..bunge lote limezizima...inaashiria nini?
 
Waliochukua form ni Amina A. Amour na Samia S. Hassan na wametimiza masharti....Jina la Samia linashangiliwa sana hapa
 
Kura.....Kutia tiki kwenye jina la Mgombea....Kila mgombea ateue Msimamizi wa kura....Kificho anawaita wagombea....Anaitwa Amina A. Amour.....(Makofi kiduchu)
 
Back
Top Bottom