Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

Nimeangalia wagombea wote naona suluhu anayonafasi ya kushinda ndiyo maana nakweleza hivyo kwa kuwa nimefanya utafiti mdogo.

Habari wakuu, lakini anauwezo na hicho kiti? tusije kuanza kushuhudia machozi maana ndugu zetu awa wakibanwa kidogo machozi, tuliona vurugu za akina Mtikila anaweza kuwaimili
 
Nafahamu kuwa bavicha wengi mnanigwaya na kunichukia kwa kuwapa ukweli ntaendelea kuwagonga za uso sana bavicha wote mtaipata tu mwaka huu kazi imeshaanza jana tumempata mzee wa viwango leo tutampata samia kila kitu kinakuwa ok.

Mkuu' Ninamkubali "Mh. Sammuel John Sitta" ana jiamini achokifanya na anachokitamka; kwa mfano jana' "alipotamka' kuwa, ATASAIDIA KUWASHUGHULIKIA WANAOTAKA KUUVUNJA MUUNGANO" kauli hii ili wakera Wazanzibar wenye asili ya kishombeshombe (WAARAB), "kumbuka kauli hii alitoa kabla ya kupigwa kura za M/kiti, na bado akapata kura nyingi na kumpita mbali mpizani wake aliyesema yeye ana UJUZI WA KUUZA MAGARI, aliyepata 12.3%
 
Emu nisaidie sio kwamba moja ya sifa ni kuwa na shahada(degree) ya sheria? sasa huyu mbona sijaona shahada ya sheria kwenye CV yake zaidi ya hiyo stashahada(diploma).
 
Naomba uelewe kuwa siyo kundi la wachache bali kundi la wengi, ndo maana Sitta kapata more than 80%

Sio sahihi kwa Mwenyekiti na Makamu wake wote watoke kwenye kundi moja. Samweli Sitta na Samia Suluhu wote wanatoka CCM, ni wajumbe wa NEC na pia mawaziri kwenye serikali ya Muungano!

Maadam wameweka vigezo vya jinsia na asili ya mgombea, basi Makamu Mwenyekiti yes, awe ni mwanamke toka Zanzibar lakini asiwe wa kundi moja na Mwenyekiti. Vinginevyo huu mchakato wa katiba mpya unazidi kukosa uhalali mbele ya wananchi. Na huu mchakato ukihodhiwa na watu wachache wa kundi moja ni wazi ndani ya miaka 5 ijayo tutatumia mabilioni mengine tena kutunga katiba mpya.
 
Kikao leo ni saa 10 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki, pia Sitta ataanza majukumu yake rasmi kesho mara baada ya kula kiapo.

mungu abariki wewe mtu mwema sana
 
kwan lile libabu kificho lilikua na elimu gani??? sidhan km lina ata llb
 
Kumbe ni Kichwa huyu mama! Kwanini hakuchaguliwa kuwa waziri wa fedha au hana makundi!

Mmmmhh, akichaguliwa kuwa Waziri wa Fedha hamtakawia kuanza kumunanga kuwa ana elimu ya kuunga unga!!!
 
Fahamu kua kwenye demokrasia kuvumiliana kiitikadi ni jambo la msingi, kwa mfano mimi binafsi sina itikadi za mlengo wa ccm wala chadema wala cuf wala chama chochote lakini nawavumilieni nyote kwa kauli zenu bila kujali vyama vyenu. Tafadhali, mimi naamini ktk viongozi bora ila siamini ktk chama bora au dhaifu, kwanza nikuchokoze kidogo hivi kile kipengere cha mgombea binafsi kimo kwenye rasimu ama la? Kwa nini?
Kile kipengele kimo mkuu utasikia tu mjadala wake ukifika.
 
Habari wakuu, lakini anauwezo na hicho kiti? tusije kuanza kushuhudia machozi maana ndugu zetu awa wakibanwa kidogo machozi, tuliona vurugu za akina Mtikila anaweza kuwaimili
Hapana anajitahidi sana ni mzuri kwa kiasi chake ukilinganisha na aminna ally.
 
Mikakati ipi hiyo ya kichama?!
mmekusanyika hapo kula hela yetu na kutuandalia katiba bora au kushiriki mikakati wa kudivert mantiki na mchakato wa katiba?
Siyo ya kichama mkuu bali ni ile ya kitaifa katiba ya wote ndiyo itakayopatikana.
 
Chabruma moja ya sifa nzuri ulonayo, ww ni mwny mtazamo chanya wakati mwingi nimekuona ktk status & comment zko!

Hongera sana mkuu Chabruma
 
kwa mwendo huu 2015 mtu akigombe urais basi mwenza itabidi awe wa jinsia nyingine
 
Back
Top Bottom