Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

Kwanini kwenye Mchakato huu CCM imemweka kando Makinda??? Kuna mwenye sababu za msingi??? Kwako Simiyu Yetu
 
wewe huna utashi wa kuchagua mpaka upate order au maelekezo?
Nimeangalia wagombea wote naona suluhu anayonafasi ya kushinda ndiyo maana nakweleza hivyo kwa kuwa nimefanya utafiti mdogo.
 
Kumbe ni Kichwa huyu mama! Kwanini hakuchaguliwa kuwa waziri wa fedha au hana makundi!
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri ngoja niachane nao make wanapenda uchokozi usio na maana.

Fahamu kua kwenye demokrasia kuvumiliana kiitikadi ni jambo la msingi, kwa mfano mimi binafsi sina itikadi za mlengo wa ccm wala chadema wala cuf wala chama chochote lakini nawavumilieni nyote kwa kauli zenu bila kujali vyama vyenu. Tafadhali, mimi naamini ktk viongozi bora ila siamini ktk chama bora au dhaifu, kwanza nikuchokoze kidogo hivi kile kipengere cha mgombea binafsi kimo kwenye rasimu ama la? Kwa nini?
 
Nchi hii haiendelei kwa kuwa kila mtu akisoma na akawa na elimu ya juu wanakimbilia siasa. Maprofesor, Madaktari na Wachumi wote wamekimbilia huko.
 
Mkuu nimeshajongea twende pamoja mpaka ukumbini tutakuwa wote wala usijali tupo bega kwa bega na chabruma na wengine kibao.

! Pamoja mkuu! Bilashaka leo mambo yatakuwa bambam' maanake Jana mkuu "Chabruma" na wenzake walifanyakazi ya ziada kutuletea UPDATES kwa kiwango cha juu zaidi, kwa upande wa picha za matukio!
 
Inaelekea CUF wana watu vichwa sana. Hata yule mzee mstaarabu (Mh. Abubakar Khamis Bakary) aliyewakiwa na mh. Olesendeka kumbe ana shule iliyosimama vizuri na uzoefu mkubwa sana katika sheria na utumishi serikalini. Sema wanadharauliwa sababu ni wapinzani.
 
Chabruma Ndugu zangu mnaotuletea update mkiongozwa na Chabruma nina wasalimu, mtazamo wangu uchaguzi wale kutakuwa hakuna msisimuko sana pia kutakuwa na utoro sana wawa bunge. Pia na shangaa sana unaoneka mwitikio wa wanawake kugombea ni mdogo sana na ndio walikuwa wanalia tunataka haki zetu. lakini Samiha anauwezo wa kuongoza mbunge hili maana humo ndani kunawatu ni tatizo, kwani kushika wizara ni mara 10 kuliko hilo Mbuge
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana mkuu Chabruma na wajumbe wote wa jf, hali yangu kiafya namshukuru Muumba niko salama, panapo majaliwa nitakuwa nanyi muda wa jioni, karibuni.

...mkuu "Skype" nawe pia hupo MJENGONI?
 
Last edited by a moderator:
Habari njema mkuu nimechelewa kidogo kuingia jukwaani siunajua vikao vya mikakati dodoma vingi kweli ila sasa mambo yako vema tunakwenda kumchagua samia mkuu.
mungu akupe afya ili twende pamoja mkuu.

Mikakati ipi hiyo ya kichama?!
mmekusanyika hapo kula hela yetu na kutuandalia katiba bora au kushiriki mikakati wa kudivert mantiki na mchakato wa katiba?
 
Back
Top Bottom