utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
Wadau, nipo ndani ya ukumbi wa bunge na kuna dalili zote leo Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi Andrew Chenge hatawasilisha Rasimu hiyo. Hii ni kutokana na kazi ya kuandaa rasimu hiyo kutokamilika. Tayari Mwenyekiti wa Bunge Maalum Sammuel Sitta amewasili kwenye viunga vya bunge
mkuu weka hii post kama update kwenye thred, ie click edit pale kwenye thred ili kuwe na mtiririko mzuri...pamoja sana