Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 22 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 22 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya

Sasa ni zamu ya Said Arfi. Anasema kuwa yeye haungi mkono mabadiliko ya kanuni. Anasema kuwa haoni sababu za msingi zamkuwataka wajumbe walio nje ya bunge kupiga kura. Anasema kuwa utaratibu uliopo dunia nzima kuwa ni wabunge waliopo ndani ya bunge tu ndio wanapiga kura. Anasema kuwa hakuna hakika kuwa ni wabunge watakaopiga kura.
 
Sasa ni zamu ya Said Arfi. Anasema kuwa yeye haungi mkono mabadiliko ya kanuni. Anasema kuwa haoni sababu za msingi zamkuwataka wajumbe walio nje ya bunge kupiga kura. Anasema kuwa utaratibu uliopo dunia nzima kuwa ni wabunge waliopo ndani ya bunge tu ndio wanapiga kura. Anasema kuwa hakuna hakika kuwa ni wabunge watakaopiga kura.
Mwenyekiti amewaasa waongee kwa mifano, sasa Arfi anapotuambia ni utaratibu wa dunia nzima bila kutaja nchi, akitajiwa nchi zinazotumia utaratibu unaopendekezwa sasa?
 
Pindi Chana anachangia sasa. Kwanza anaunga mkono kwa vile utaratibu mpya wa kupiga kura utampa haki kila mbunge kupiga kura bila ya kujali mahali alipo. Pia mabadiliko hayo yanaokoa fedha nyingi ambazo zingeteketea kama kanuni ingqbaki kama ilivyo kwani ingehitaji zaidi ya siku 300 kupiga kura bila ya kujali weekend na sikukuu
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni, Pandu Ameir Kificho anamuita mjumbe wa kamati hiyo Amon Mpanju kuwasilisha mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa. Mpanju anaanza kwa kutoa shukran kwa mwenyekiti wake kwa kumpa fursa yamkutosha ndani ya kamati hiyo bila ya kujali hali yake ya ulemavu. Kwa wale wasiomjua Amon Mpanju, ni kwamba huyu ni mlemavu wa kutoona lakini ni mtu makini sana.
Sio kweli,sio mtu makini kabisa,nimefuatilia sana hoja zake,yuko biased na upeo mdogo sana wa kuchambuamambo,pia ni opportunist fulani ambaye ana matarajio fulani baada ya mchakato,ni mchumia tumbo mzuri tu,hivyo usimsifie bila vigezo.
 
Mwenyekiti amewaasa waongee kwa mifano, sasa Arfi anapotuambia ni utaratibu wa dunia nzima bila kutaja nchi, akitajiwa nchi zinazotumia utaratibu unaopendekezwa sasa?
Ni kweli Mkuu. Mwenyekiti Sitta yupo makini sana kwa leo. Anajaribumkuwaweka sawa wabunge wqnapoteleza. Anamhoji Arfi kama ni sahihi kura zipigwe zaidi ya siku 300 ilhali fedha za walipa kodi zinateketea. Anasema kuwa Arfi anaheshimika kitaifa hivyo ni vema akatunza heshima aliyo nayo
 
Pindi Chana anachangia sasa. Kwanza anaunga mkono kwa vile utaratibu mpya wa kupiga kura utampa haki kila mbunge kupiga kura bila ya kujali mahali alipo. Pia mabadiliko hayo yanaokoa fedha nyingi ambazo zingeteketea kama kanuni ingqbaki kama ilivyo kwani ingehitaji zaidi ya siku 300 kupiga kura bila ya kujali weekend na sikukuu
huyo mwana Dada ni mwanasheria, hivyo anajua anachokitetea
 
Sio kweli,sio mtu makini kabisa,nimefuatilia sana hoja zake,yuko biased na upeo mdogo sana wa kuchambuamambo,pia ni opportunist fulani ambaye ana matarajio fulani baada ya mchakato,ni mchumia tumbo mzuri tu,hivyo usimsifie bila vigezo.

Huu wivu tu , huna lolote.
 
Quorum ya wapiga kura haijakamilika, Mwenyekiti 6 ameleta mizengwe ya kubadili kanuni ili wale wasio Bungeni wapige kura huko waliko? Inawezekana wanatengeneza loophole kuchakachua kura za wajumbe?

Naona Mwenyekiti 6 anakuwa mkali sana kila anayepinga pendekezo lake. Waliompendekeza apewe huu uenyekiti, huenda walishapanga kuhitimisha safari yake kisiasa.
 
Sio kweli,sio mtu makini kabisa,nimefuatilia sana hoja zake,yuko biased na upeo mdogo sana wa kuchambuamambo,pia ni opportunist fulani ambaye ana matarajio fulani baada ya mchakato,ni mchumia tumbo mzuri tu,hivyo usimsifie bila vigezo.

Kuna watu watapata frustration baada ya bunge la katiba.Watu wana expectation zao sasa zikienda tofauti na matarajio yao watapata mfadhaiko.
 
Sasa ni Azimio la kupitisha mabadiliko ya Kanuni za Bunge Maalum. Kabla ya hapo Mwenyekiti anasema kuwa Kamati ya Uandishi imeomba kuongezewa siku moja zaidi na hivyo kazi hiyo itafanyika siku ya Jumatano tarehe 24 Septemba 2014. Kutokana na hali hiyo, leo kamati hiyo haitawasilisha Rasimu kama ilivyopangwa. Anasema kuwa wabunge wanatarajia kupiga kura. Hivyo kuna haja kanuni zibadilishwe ili kuendana na muda uliopo. Anasema kuwa kwa sasa kuna wabunge 480 ambao wanawezamkuchukua dakika 960 endapo kila mbunge atapewa dakika mbili kupiga kura kwa ibara moja. Kwa hali hiyo itachukua muda wa masaa 16 kupitisha ibara moja. Ukizidisha jumla ya ibara zaidi ya 200 utaona kuwa kwa vyovyote vile hawataweza kukamilisha ndani ya muda uliopangwa.

Kwahiyo mnataka kupiga kura za bora liende siyo... WANAOPITISHA KIFUNGU HIKI WASEME NDIYOOO... WANAKATAA WASEME SIYOOO... NADHANI WANAOSEMA NDIYOO WAMESHINDA.. GONGA MEZAAAAA..
 
Mkusanyiko huo unaoitwa Bunge maalum la katiba hauishi mambo ya kustajabisha. Kama katika kutekeleza msemo kuwa kila siku kuna kituko kitatokea Barani Afrika.

Wakati Sitta na wana mkutano wake wanafanya mabadiliko ya kanuni yao ya kupiga kura,haileweki sababu zao za kusahau kununi nyingine walizopitisha katika kuliendesha Bunge hilo ikiwa ni pamoja na inayozuia kulipa posho kwa wajumbe wasiokuwepo bungeni.

sasa tunaweza kuona kuwa wabung wote watalipwa posho zao bila kujali kama wako bungeni au wameshiriki kwa kufuatilia kile ambacho wanataka kutolea mamuzi kwa maana ya kupigia kura.

Ninachokiona hapa ni kuwa huu ni mkakati maalum wa kuhakikisa kuwa theluthi mbili zinapatikana. Kwamba wajumbe wasiokuwepo waashwishiwa kwa njia yoyote hata kamani Rushwa ili waunge mkono rasimu ya Sitt. Makati huu unawaweza ukawahusisha hata wajumbe wa Ukawaambao wamekataa kuhudhuria mkutano unaoendelea kwani watweza kupig simu kwa njia ya simu au Mtandao ambapo hakuna mtu anayeweza kufahamu kwa urahisi nani amepiga kura.

kwa kuwa Sita umeamua kutengeneza historia, tunaomba uende mbele zaidi uiishie kwenye katiba mpya pekee, kwani tunahitaji mtusaidie hata katiba upigaji kura kwenye chaguzi nyingine. Mathalani kwa utaratibu uliopo hivi sasa mpiga kura haezi kutekeleza haki yake hiyo iwapo atkuwa nje ya eneo ambako amejiandikisha!. Umejiandikisha Kibodo lakini wakati wa kupiga kura ukawa Ngara hautaweza kupiga kura? Umejiandikisha Mwanza mjini na wakati wa kupiga kura ukawa Nyakato umbali wa kilomita tano, huwezi kupiga kura!vivyo hivyo na maeeo mengine hata na walio nje ya nchi.
 
natizama bunge la katiba wajumbe waliobaki wanataka kura mtu apigie hata akiwa ulaya, marekani, india popote duniani lakini hata akiwa mbeya hospitali, arusha mbuga za serengeti ukiliangalia hili vizuri utagundua ni 2/3 inatafutwa.
Je nani atalinda kura hizo zifike kama zilivyo andikwa na je ni kina nani watazipiga watakua kweli wajumbe wa bmk.
Na cha pili kilichojitokeza ni kupigia kura kila kipengele cha yes or no. je vingi ikiwa na no siku ziongezwe au watafanyaje??
 
Goodluck Ole Medeye anawapongeza Wananchi wa Arusha kwa kukataa maandamano ya CHADEMA. Pia anawapongeza viongozi wa mkoa na wilaya pamoja na vyombo vya dola kwa kuchukua hatua stahiki kudhibiti maandamano hayo bila ya madhara. Kuhusu mabadiliko ya kanuni, anasema kuwa anaunga mkono marekebisho hayo. Kuhusu wabunge walio nje ya bunge kupiga kura, anaunga mkono. Hata hivyo anapendekeza kuwa kuwa na nje moja tu ya kupiga kura. Kwamba wabunge walio nje wapelekewe karatasi na wapige kura huko. Baada ya kupiga kura, karatasi hizo zitumwe kwa njia ya nukushi (fax)
 
Chabruma, Samweli Sitta anataka kubaka Democrasia na kutengeneza kichaka cha wangunge wa UKAWA walionje ya Bunge kupiga kura za kuunga mkono bila kulazimika kuwa ndani ya ukumbi wa Bunge, hii ni hali ya hatari kwa amani ya nchi yetu. Samweli Sitta historia itamhukumu kwa kuangamiza amani ya taifa hili.

Haya mabadiliko ya kanuni ni ya kijinga kabisa kuwahi kufanywa ni lini mbunge aliye nje ya bunge anayeza kupitisha sheria au kuingie kwenye record ya kupitisha sheria yeye akiwa hayupo bungeni, kama sheria hiyo ni ya muhimu kwake kwanini asingepanga muda wa yeye kuwa bungeni?

Tumeshajua wananchi tutatoa hukumu kwa wajumbe wa UKAWA watakao tumia fursa ya mabadiliko ya hii kanuni kupitisha katiba ya CCM wakiwa nje ya Bunge, tutajua wamehongwa ila wanaona aibu kuingia kwenye ukumbi wa bunge.
 
Last edited by a moderator:
Ali Omar anashauri upigaji kura usimamishwe ili kupata suluhu la kisiasa. Anasema kuwa haina haja ya kupiga kura huku wabunge wa UKAWA wakiendelea na mgomo.anasema kuwa kama kura zitapigwa kuna hatari ya katiba itakayopatikana kutoungwa mkono na Watanzania wengi. Pia anapinga watu walio nje ya bunge kupiga kura
 
Sixtus Mapunda anachangia sasa. Anapongeza mabadiliko yaliyoletwa. Anakumbusha jinsi mvutano ulivyoibuka kuhusu namna yamkupiga kura na upatikanaji wa akidi. Anasema kuwa mabadiliko haya yanaondoa utata na hivyo kutoa nafasi ya kuwashirikisha wale walio nje ya bunge hilo.
 
Mkuu ni kweli historia ni historia, maana hata tunakumbuka leo historia mbaya ya Hitler na wengineo.

Je ni kweli kabisa Rasimu hiyo ya tatu ni ya wataz?

Hakuna Bunge hapo, ni muendelezo wa Uhuni wa SITTA.
 
Back
Top Bottom