CHIMBELEKO
Senior Member
- Sep 19, 2014
- 120
- 12
Jamani muogopeni mungu hija ni ibada takatifu.msiwapelekee hizo kura za kimagumash.wataharibu hija zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufafanuzi umeshatolewa na sheikh Jongo. Anasema kuwa wakati wa hija watu wanapata fursa yamkutosha hali ambayo inaweza pia kuwaruhusu kupiga hija. Ametaja siku ambazo mahujaji wanakuwa busy namkwa mwaka huu inaweza kuanzia tarehe 4 Oktoba siku ambayo zoezi la upigaji kura litakuwa limemalizikaJamani muogopeni mungu hija ni ibada takatifu.msiwapelekee hizo kura za kimagumash.wataharibu hija zao.
Ni bunge na Pwagu na Pwaguzi hilo,, Hiyo kamati ya uandishi inaandika nini? maana kuna vipengele vingi tuu hawajakubaliana na havikuamuliwa kwa kura sasa kamati ya uandishi inaandika maoni yote au inaandika nini haswa??
Mkuu, wabunge waliobaki bungeni wapo makini sana. Hakika wana dhamira njema kwa watanzania kwa vile na wao ni sehemu ya raia wa TanzaniaBunge la samweli sita lina maajabu ya 8 ya dunia, wacha wajiandikie maana hata viongozi wa tz wanaongoza maiti (kwa mujibu wa Museven)
Mkuu,mujue pia hakuna mtu anayehitaji huu upuuzi wako. Kama unaona kuwa hutaki kusikia mjadala huu, kaa pembeni. Waache wahitaji wajue kinachojiri
Mkuu, wabunge waliobaki bungeni wapo makini sana. Hakika wana dhamira njema kwa watanzania kwa vile na wao ni sehemu ya raia wa Tanzania
Nashukuru sana Mkuu. Tuvumiliane Mkuu. Ni upepo tu huu
Tanzania yenyewe ni ajabu la nane la dunia...
Pamoja sana Mkuu. Hakika una busara ya hali ya juu sana. Nakuomba ukamfanyie Ushauri Nasaha mkuu Bramo ili mapepo yake yatulieNimeheshimu maoni yako kwa kuwa unayo haki kikatiba kutoa maoni ilimradi hujakiuka sheria za nchi. Nimekusoma mkuu, lete updates zaidi.