prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,373
Watanzania ni wavumilivu sana..Yani huu uhuni ungekuwa unafanywa kwenye Nchi za Wenye Macho,Masikio na Akili sijui hali ingekuwaje..
Huu upigaji kura kwa njia ya Mitandao daah!!
Warioba alitoa tahadhari Wakamuona hana akili..
Tunaisubiri hiyo yenu CCM ..Malizeni Halafu tukutane Kitaa..Tutaheshimiana tu.
Huu upigaji kura kwa njia ya Mitandao daah!!
Warioba alitoa tahadhari Wakamuona hana akili..
Tunaisubiri hiyo yenu CCM ..Malizeni Halafu tukutane Kitaa..Tutaheshimiana tu.