poxviridae
Member
- Aug 13, 2014
- 52
- 11
Hahahaha
We unganisha tu matukio yanayotokea hapa bongo afu utajua kuwa inaquarify...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha
Samweli Sita leo anaongozq bunge la Katiba kubadili kanuni za bunge ili hata kama mjumbe yuko nje ya nchi apige kura hii maana yake ni kwamba si lazima mjumbe ahudhurie vikao vya bunge anaweza kukaa nyumbani ana tuma sms ,
Tanzania yenyewe ni ajabu la nane la dunia...
Pamoja sana Mkuu. Hakika una busara ya hali ya juu sana. Nakuomba ukamfanyie Ushauri Nasaha mkuu Bramo ili mapepo yake yatulie
Hawa magamba ni wapuuzi sana. Mbona wakati wanatunga kanuni kwa siku 68 hawakujali upotevu wa muda iweje sasa waje na hoja ya kuchakachua kura kwa kuwataka watu walio nje ya bunge kupiga kura? hii ni mbinu ya kibwege ya kutaka kuchakachua kura baada ya kuona kwamba hawana pa kutokea. wapuuzi wakubwa!
Wajumbe wote wana haki ya kupiga popote pale wawapo, hii ni haki yao ya kimsingi. Hivi ubaya upo wapi hata kama watapiga kura kwa SMS, Skype, WhatsApp!!!
Na ile sheria ya kuwa mjumbe asiyekuwa bungeni halipwi utaitenganisha vipi na kituko hiki cha mwaka huu hasa hasa tarehe hii ya mwezi wa tisa!! CCM ni kama kimba!!
Una uhakika kuwa wajumbe wote wasiohudhuria bungeni hawalipwi?
Wabunge wamemaliza kutoa michango yao na Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni anahitimisha mjadala
Wabunge wamemaliza kutoa michango yao na Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni anahitimisha mjadala