Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 22 Septemba 2014, Uwasilishaji wa Rasimu ya Tatu ya Katiba Mpya

tanzania hakuna wasomi kitila ni mchumia mshipa

Wewe dogo lini waliobaki bungeni wakasema ukweli...? Tuwapuuze pamoja na kuipuuza katiba yao ya ccm...

Wasitugombanishe sisi tuliotoka kwa kutugombanisha
 
Wewe tu ndio mwenye Akili walioko ndani pale ni majuha?
 
wakuu katiba imewezesha kuwajua watu wengi ambao ni wanafiki
 
Naona anawadhalilisha waislamu pale watakapokuwa katika nchi takatifu,anawapa karatasi ya kura waisigine mahakama ya kadhi huko huko,chezea mfumo kristu, jumapili naenda kutoa sadaka ya shukrani kwa kuwa wahusika watakamilisha tendo la kuikataa mahakama ya kadhi wakiwa mbele ya mamilioni ya waislamu wenzao na mbele ya maeneo matakatifu
 

In the world of blinds (CCM) a one eyed man (Sitta) is a KING!
 
Hii rasimu ya ccm itapigiwa kura na nani?Na lini?Maana rais ajaye ataendelea na rasimu ya warioba.Waislam wanafiki kama kina JONGO WAMEONEKANA
 
Wajumbe wote wana haki ya kupiga popote pale wawapo, hii ni haki yao ya kimsingi. Hivi ubaya upo wapi hata kama watapiga kura kwa SMS, Skype, WhatsApp!!!
Kama ni hivyo maana ya akidi ni nini? kuna umuhimu gani wa kuwa na akidi ilihali popote ulipo unaweza kushiriki? Basi tuwaruhusu wajumbe wa BMK hiyo siku ya upigaji kura wakafanye shughuli nyingine za kujenga taifa, huko jengoni awepo sitta na makatibu wake tu wakusanye kura kwa mtandao basi.
 
Kweli kinachofanyika huko BMK ni uwenda wazimu uliyopitiliza. Binafsi sijawahi kuona wala kusikia toka kwa wenzetu waliyowahi kuwa na mchakato wa kutunga katiba. Ama kweli ukoo wa KAMBALE kila mmoja ana SAUTI YAKE.
 

Mahakama ikishindwa kutengua huu upuuzi wa Sitta nitashangaa sana. Kura ya kuamua jambo kubwa km katiba inapigwa mahali popote kweli?
 
Sita sita katiba tu unasita kuamua je tukikuweka magogoni si utakua sadam Hussein.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…