Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Kama ni kweli simiyu yetu naye ni mjumbe wa bunge hili basi nchi hii imelaaniwa na pale wamejaa wahuni na wajinga wajinga tu, hamna la maana.
 
Pamoja sana Mkuu, kwa sasa niite tu Mtanzania kwani ndo kiungo chetu sote. Tuwe pamoja na tushirikiane katika hili ili jahazi lifike salama
Kuna habari kuwa rais ametua hapo jana ili kusaidia kamati ya mashauriano kufikia muafaka! Kuna ukweli wowote??
 
Kama ni kweli simiyu yetu naye ni mjumbe wa bunge hili basi nchi hii imelaaniwa na pale wamejaa wahuni na wajinga wajinga tu, hamna la maana.

Japo nipo hapa kwa minajili ya mjadala wa bunge la katiba ila maoni yako yanaendana na maoni yangu katika ulichokisema
 
Kuna habari kuwa rais ametua hapo jana ili kusaidia kamati ya mashauriano kufikia muafaka! Kuna ukweli wowote??
Mkuu, ni kweli Rais alitua hapa jana. Ujio wake si kwa sababu ya kusaidia kupata maridhiano juu ya vifungu hivyo bali alikuja kwa ajili ya vikao vya kawaida vya CCM. Ni imani yangu na yako kuwa uwepo wake hapa Dodoma utasaidia kufikia maridhiano katika vifungu shindaniwa
 
Kuna habari kuwa rais ametua hapo jana ili kusaidia kamati ya mashauriano kufikia muafaka! Kuna ukweli wowote??

Chabruma hebu kuja hapa ujibu hoja hii na ikiwezekana hata the said mbunge Simiyu Yetu naomba naye ajitokeze hapa atupe dondoo kuhusu ujio wa rais jakaya
 
Last edited by a moderator:
Kama hata Simiyu Yetu anaweza kuwa mmbunge ni aibu kuendelea kuwa Mtanzania
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe ni mtanganyika maana babu yangu aliipigania tanganyika na mwaka 1961 ndio tanganyika ikapata uhuru wake tanzania ni nini tena? Endeleen kutupa habari from bunge la wataka posho ila wakichakachua tu maon yate yalioko kwenye rasimu hatutokua na umuhimu tena duniani nibora tuchague kufa tu
 
Mkuu, ni kweli Rais alitua hapa jana. Ujio wake si kwa sababu ya kusaidia kupata maridhiano juu ya vifungu hivyo bali alikuja kwa ajili ya vikao vya kawaida vya CCM. Ni imani yangu na yako kuwa uwepo wake hapa Dodoma utasaidia kufikia maridhiano katika vifungu shindaniwa

Mkuu, unaweza ukawa sahihi lakini kumbuka jakaya ni mwana ccm, na ccm kwa mujibu wa wajumbe wake wafurukutwa (sendeka) wanataka kura ya wazi, na kwa mujibu wa matamko yao huo ndo msimamo wa chama. Je, sitakua sahihi nikisema jakaya kaja kushinikiza maridhiano yawe upande wa msimamo wa chama ama la? Kwa nini?
 
Naomba kupewa dondoo kuhusu maridhiano yaliyofikiwa ktk vifungu vya 37 na 38 kabla semina haijaanza.

cc. Chabruma
cc. MaishaPesa
cc. Simiyu Yetu
cc. Mjumbe mwingine yeyote mwenye kujua hili
Mkuu, katika maridhiano ya awali ambayo yalifikiwa siku ya Ijumaa, ni kwamba Kamati ya Mashauriano ilifikia muafaka wa kura ya Siri. Hata hivyo kuna masuala mengi yalikuwa hayajakaa sawa na pia walipitejesha kwenye makundi yanayounda bunge hilo, baadhi ya makundi yaliendelea kuwa na msimamo wa matumizi ya kura ya Wazi. Ikumbukwe kuwa matumizi ya kura za Siri yameridhiwa kwa lengo la kuendeleza mshikamano na umoja wa kitaifa hasa ikizingatiwa kuwa kuna makundi hasa vyama vya siasa walitamka wazi kuwa ikiwa kura ya wazi itatumika, watajiondoa kwenye mchakato wa katiba na kwenda mahakamani kusimamisha mchakato huo. Ni kutokana na mazingira hayo ndipo ulazima wa kura ya siri ulipojitokeza. Hii ni kusema kuwa kura ya Siri haijatokana na hoja bali na mazingira yaliyopo ndani na nje ya bunge
 
Mkuu, ni kweli Rais alitua hapa jana. Ujio wake si kwa sababu ya kusaidia kupata maridhiano juu ya vifungu hivyo bali alikuja kwa ajili ya vikao vya kawaida vya CCM. Ni imani yangu na yako kuwa uwepo wake hapa Dodoma utasaidia kufikia maridhiano katika vifungu shindaniwa

Ni imani yangu basi wajumbe wa CCM (maana ndio alionana nao) wataheshimu ujio wake na kuanza kubehave like grownups, na kutaka kushinda kila nukta kwa maslahi yao.! Naamni kikao cha leo kitatupa picha kama ujio wake umekuwa na impact yoyote kurestore order.! Tusubiri
 
Mkuu, unaweza ukawa sahihi lakini kumbuka jakaya ni mwana ccm, na ccm kwa mujibu wa wajumbe wake wafurukutwa (sendeka) wanataka kura ya wazi, na kwa mujibu wa matamko yao huo ndo msimamo wa chama. Je, nitakua sahihi nikisema jakaya kaja kushinikiza maridhiano yawe upande wa msimamo wa chama ama la? Kwa nini?
Mdau mwenzangu, kama nilivyoeleza kuwa Rais hayupo hapa kwa ishu ya katiba bali kwa shughuli za kichama. Hata hivyo kwa vile hoja hii ipo mezani, ni wazi kuwa anaweza kutumia fursa hii kushiriki kutafuta muafaka. Binafsi siamini kuwa Rais JK anaweza kushinikiza msimamo wa chama hasa ikizingatiwa kuwa Rais wetu ni msikivu na anaamini maamuzi ya pamoja na anaheshimu mawazo ya walio wengi.
 
Mimi niite Mtanganyika coz muungano upo rehani mpaka sasa bado haujapitishwa mpaka katiba mpya ipatikane!

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
 
Samahani wadau, kwa haraka mwenye orodha ya wajumbe wanaounda kamati ile ya maridhiano, atuwekee hapa tunaweza kufahamu nini kitaletwa Bungeni kabla ya wasilisho lao....
 
Mkuu, katika maridhiano ya awali ambayo yalifikiwa siku ya Ijumaa, ni kwamba Kamati ya Mashauriano ilifikia muafaka wa kura ya Siri. Hata hivyo kuna masuala mengi yalikuwa hayajakaa sawa na pia walipitejesha kwenye makundi yanayounda bunge hilo, baadhi ya makundi yaliendelea kuwa na msimamo wa matumizi ya kura ya Wazi. Ikumbukwe kuwa matumizi ya kura za Siri yameridhiwa kwa lengo la kuendeleza mshikamano na umoja wa kitaifa hasa ikizingatiwa kuwa kuna makundi hasa vyama vya siasa walitamka wazi kuwa ikiwa kura ya wazi itatumika, watajiondoa kwenye mchakato wa katiba na kwenda mahakamani kusimamisha mchakato huo. Ni kutokana na mazingira hayo ndipo ulazima wa kura ya siri ulipojitokeza. Hii ni kusema kuwa kura ya Siri haijatokana na hoja bali na mazingira yaliyopo ndani na nje ya bunge

Asante kwa dondoo mkuu, sasa bado dk takribani 7 kutimia saa tano kwa mujibu wa saa za Afrika ya Mashariki ambapo tunatarajia kikao kuanza.
 
Samahani wadau, kwa haraka mwenye orodha ya wajumbe wanaounda kamati ile ya maridhiano, atuwekee hapa tunaweza kufahamu nini kitaletwa Bungeni kabla ya wasilisho lao....

Mkuu mimi ninayo ila ngoja niingie kwa kompyuta nikuwekee, nipe dk chache nitarejea.
 
Simiyu yetu mbonna yupo kimya?

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
 
Back
Top Bottom