Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
- Thread starter
- #61
Ni kweli mkuu. Hakika kitendo cha kukaa muda mrefu bila ya kufikia muafaka kwenye hoja iliyo dhahiri, ni wazi kuwa kodi zetu zinapoteaNdiyo ni chombo muhimu lakini kwa kadiri wanavozidi kuchelewa kufikia maamuzi ndivyo kodi zetu zinavyozidi kuteketea, mkuu mimi nina uchungu na kodi zetu tu na si vinginevyo japo napenda maridhiano yaliyo bora.