Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Simiyu yetu mbonna yupo kimya?
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
Wadau, amani iwe nanyi.
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwaletea mtiririko wa mijadala Bungeni Dodoma. Kwa sasa Bunge lipo kwenye mchakato wa kukamilisha kupitisha vifungu vya Kanuni za Bunge. Mtakumbuka kuwa vifungu vyote 87 vimepitishwa isipokuwa kifungu cha 37 na 38 ambavyo kwa ujumla wake vinahusu ufanywaji wa maamuzi ndani ya Bunge Maalum. Mjadala hapa ni ama matumizi ya Kura ya Wazi au ya Siri. Mtakumbuka kuwa siku ya Ijumaa ya tarehe 7 Machi, Mwenyekiti Kificho aliunda Kamati ya Mashauriano kuhusu vipengele hivyo. Kamati bado haijamaliza kazi yake na leo wanaendelea na mashauriano. Semina kwa siku ya leo itaendelea kuanzia saa 5 Asubuhi mara baada ya Kamati ya Mashauriano kumaliza kazi yake.
kama kawaida, nitakuwa sambamba na wadau wengine kuwaletea updates zote. Natarajia kupata ushirikiano kutoka kwa mdau wetu ambaye ni Mbunge wa Bunge hili Maalum, Simiyu Yetu. Pia kwenye Mjadala, natarajia kuwaona akina Skype na MaishaPesa. ​Stay Connected
Samahani wadau, kwa haraka mwenye orodha ya wajumbe wanaounda kamati ile ya maridhiano, atuwekee hapa tunaweza kufahamu nini kitaletwa Bungeni kabla ya wasilisho lao....
Ndiye anayebeba briefcase ya mwigulu ni katibu mhtasiina maana Simiyu Yetu ni mmoja kati ya wale 201?
Wadau, nipo ndani ya ukumbi wa Bunge na kwa jinsi inavyoonekana kikao hakiwezi kuanza muda huu. Mahudhurio bado ni machache. Pia kile kikao cha Mashauriano kinaendelea
Ndiye anayebeba briefcase ya mwigulu ni katibu mhtasi
Mkuu, swali hili nimelijibu kwenye mijadala iliyopita hasa ule wa Jumamosi. Mie si mjumbe ila Simiyu Yetu ndo mjumbe. Hatujuani ila tunafahamiana kikazi@Chabruma na wewe ni mjumbe??? kweli JK aliona viazi
Simiyu Yetu ni yule jamaa aliyeiba simu bungeni P.M
Mkuu, si matatizo bali ndo chombo muhimu katika kulipatia ufumbuzi suala hili
Mkuu Skype heko sana, nafikiri mdau alihitaji list ya wajumbe wanaounda kamati ya mashauriano, namu napenda kuwajua ni akina nani ili tujue uamuzi wa siri/wazi utakuwa muelekeo upi?Haya mkuu, majina ya wajumbe wote haya hapa.