Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hekta elfu 60 ni sawa na mikoa mitatu, inawezekana mtu mmoja akamiliki?
Bila wakulima wakubwa chakula kitatoka wapi? Wasipolima hawa wazee wenye pension kubwa Nani alime?
MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE
Tumia hizi Links Chini Kufuatilia Kila kitu kutokea Chato, Geita
Huu mti utaanguka tu Mungu atakapopenda. Ninakumbuka kijijini kwetu kulikuwa na miti miwili mikubwa sana na ilishindikana kuiangusha. Cha ajabu siku moja ilipigwa na radi na kukauka siku moja na hiyo radi ilipasua hiyo miti vipande vipande. Majirani walishukuru sana siku hiyo. Kwa hiyo CCM ilivyokaa kaa kuiangusha ni ngumu. CCM msichukie Chadema. Mngekuwa watu wema mngewasifu Chadema kwa kuwa inwasaidia sana kuamka usingizini. Hili jambo la kusema mkichagua upinzani siwezi kuleta maendeleo halijakaa sawa. Maana ukiwaletea maendeleo next time hawatachagua upinzani. Kwa vyama vyote, wekeni Sera nzuri za kuwaunganisha watu. Siyo hii tulio nayo ya kuona mtanzania mwenzangu kwa kuwa ni mwanachadema au mwanaccm ni adui. Kujibu mwanzako kwa hasira haileti tija bali mjibu kwa hoja ukijua ni siasa na kesho tukae meza moja kama watanzania na kuendeleza nchi kwa pamoja. Hii inawzekana tu kama tutaondoa ulaghai kwenye siasa kwa ajili ya kupenda tumbo kuliko kuwatumikia wananchi.
Mungu ibariki Tanzania
MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE
Tumia hizi Links chini Kufuatilia Kila kitu kutokea Chato, Geita
===
MAGUFULI: MZEE MKAPA NDIYE ALIYENIOKOTA HUKO ‘JALALANI’
Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimfikiria Hayati Rais Mkapa huwa anaumia kwenye nafsi yake
Amesema Rais Mkapa ndiye aliyemuokota ‘Jalalani’ amesema hayo kwa kuwa kuna watu wanadai siku hizi mtu akipata kazi anasemwa amokotwa jalalani na Magufuli
Dkt Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni uliofanyika Chato mkoani Geita. Aidha amewataka wananchi kuendelea kumuamini
Katika Kampeni hizo Magufuli amesema walisimama imara kukomesha uhalifu, kama maeneo ya Kibiti na Biharamulo. Amewapongeza sana vyombo vya ulinzi na usalama
MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE
Tumia hizi Links chini Kufuatilia Kila kitu kutokea Chato, Geita
===
MAGUFULI: MZEE MKAPA NDIYE ALIYENIOKOTA HUKO ‘JALALANI’
Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimfikiria Hayati Rais Mkapa huwa anaumia kwenye nafsi yake
Amesema Rais Mkapa ndiye aliyemuokota ‘Jalalani’ amesema hayo kwa kuwa kuna watu wanadai siku hizi mtu akipata kazi anasemwa amokotwa jalalani na Magufuli
Dkt Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni uliofanyika Chato mkoani Geita. Aidha amewataka wananchi kuendelea kumuamini
Katika Kampeni hizo Magufuli amesema walisimama imara kukomesha uhalifu, kama maeneo ya Kibiti na Biharamulo. Amewapongeza sana vyombo vya ulinzi na usalama
MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE
Tumia hizi Links chini Kufuatilia Kila kitu kutokea Chato, Geita
===
MAGUFULI: MZEE MKAPA NDIYE ALIYENIOKOTA HUKO ‘JALALANI’
Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimfikiria Hayati Rais Mkapa huwa anaumia kwenye nafsi yake
Amesema Rais Mkapa ndiye aliyemuokota ‘Jalalani’ amesema hayo kwa kuwa kuna watu wanadai siku hizi mtu akipata kazi anasemwa amokotwa jalalani na Magufuli
Dkt Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni uliofanyika Chato mkoani Geita. Aidha amewataka wananchi kuendelea kumuamini
Katika Kampeni hizo Magufuli amesema walisimama imara kukomesha uhalifu, kama maeneo ya Kibiti na Biharamulo. Amewapongeza sana vyombo vya ulinzi na usalama
MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE
Tumia hizi Links chini Kufuatilia Kila kitu kutokea Chato, Geita
===
MAGUFULI: MZEE MKAPA NDIYE ALIYENIOKOTA HUKO ‘JALALANI’
Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli amesema akimfikiria Hayati Rais Mkapa huwa anaumia kwenye nafsi yake
Amesema Rais Mkapa ndiye aliyemuokota ‘Jalalani’ amesema hayo kwa kuwa kuna watu wanadai siku hizi mtu akipata kazi anasemwa amokotwa jalalani na Magufuli
Dkt Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni uliofanyika Chato mkoani Geita. Aidha amewataka wananchi kuendelea kumuamini
Katika Kampeni hizo Magufuli amesema walisimama imara kukomesha uhalifu, kama maeneo ya Kibiti na Biharamulo. Amewapongeza sana vyombo vya ulinzi na usalama
Unanipa shamba nilime kea jembe la mkono? Pembejeo ntatos wapi? Technology? Babangu hakulima mine mjukuu nilime kea umasikini upo?Kwa hiyo Watanzania wengine wakawe watumwa, Kuna tofauti gani na manamba kipindi cha ukoloni wa Mgermani?
Kwa hiyo hao Ni Watanzania pekee wanao weza kulima?
Acha akili za kutumwa, hata wewe unaweza kulima na kupata Mali.
Ukipewa acre 50 utashindwa kusimamia? Kama huwezi wewe Ni kilaza...
Mtu akipewa Shamba, atakuwa anakopesheka
Angalia Akina Mo, Avoid, etc...walipewa Mashamba na kukopa mabenki. Wewe hutaki Pesa au unataka tu mlamba viatu?
Nani kakuambia mafao ni mpesa muda wowote inachukua?Jibu Kuhusu mafao aisee, acha kuruka ruka.
Vipi Kuhusu watu kupigwa Tarehe miezi 4 mpaka 6? Pesa imeenda wapi.... kwenye Kampeni?
Nani kakuambia mafao ni mpesa muda wowote inachukua?
Mungu atunusuru na Shari ya magufuli na balaa lakeKumpa kura yangu huyu ni kubariki utekwaji, unyanyaswaji, uuaji, uvunjifu wa katiba na haki za binadam tulioshuhudia ndn ya miaka yake mitano