nimependa bango lililoandikwa "ALISEMA WATU WA BUZIKU WANYE BARABARANI WASAMBAZE KINYESI KIWE RAMI"....duuuh! hizo kauli zitamponza
Angeandika mtu mwingine ningetafakari kidogo lakini wewe kiazi mmalangu huna kitu.
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
nimependa bango lililoandikwa "ALISEMA WATU WA BUZIKU WANYE BARABARANI WASAMBAZE KINYESI KIWE RAMI"....duuuh! hizo kauli zitamponza
Duh Lowasa sasa hii sifa mzee wangu,mbona umemuumiza mwenzio nyumbani kwao mbele ya wazazi wake?
Vipi na ule wa Geita umeufuatilia?
Ngoja waje magambaz usikie wakisema picha za kuungaunga na computer.