Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 991
nimependa bango lililoandikwa "ALISEMA WATU WA BUZIKU WANYE BARABARANI WASAMBAZE KINYESI KIWE RAMI"....duuuh! hizo kauli zitamponza
Huyu mtu ana mdomo mchafu sana...
Hastahili hata uenyekiti wa serikali ya mtaa!
Nimeamini ya kuwa muda wa mabadiliko ni huu!
Wananchi wameshafanya maamuzi!