Mbona umelirika swami la
kwa taarifa yako magufuli ni chato na chato ni magufuli.
hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele
kwa taarifa yako magufuli ni chato na chato ni magufuli.
Sana tu.
hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?
kitu kingine ambacho chadema inajisahaulisha ni kwamba serikali za mitaa zilifanyika escrow ikiwa hot. walifaidika sana na kura za hasira.
kwa sasa richmond ndo hot. tabiri matokeo
kitu kingine ambacho chadema inajisahaulisha ni kwamba serikali za mitaa zilifanyika escrow ikiwa hot. walifaidika sana na kura za hasira.
kwa sasa richmond ndo hot. tabiri matokeo
Kwani Magufuli ni mgombea binafsi? watu wanataka mabadiliko acha kujitoa akili kwa mapenzi ya CCM
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele
Ndugu, mficha maradhi mauti humuumbua. Arusha kuna tatizo, na chanzo cha tatizo ni Mr Low, hatufurahii ubaguzi kwa vile hatuna njia nyingine ya kuwarekebisha ngoja tuwaseme huenda mtabadilika. Hapa nimeweka hiyo link itafute uisome. Pia tafuta kisa cha cdm kuandama kwenda kwa mkurugenzi wakati wa uandikishaji wa bvr. Hoja namba 4 kati ya madai yao ilikuwa ubaguzi wa kikabila kati ya makabila asili ya ARUSHA zidi ya wachaga, yalikuwa wanawafukuza kwenye foleni za kujiandikisha. Kuna tstizo huko kaskazini, upende usipende ila ukweli ndiyo huyo.We endelea kutunga misamiati ya kibaguzi haitakusaidia. Arusha hii unayosema haipo popote mwongo mkubwa Mungu atakuhukumu kwa kutaka kutugawa . Huna tofauti na Lucifer. Nina ujasiri wa kukupinga kwa sababu nipo Arusha miaka 20 sasa hamna kitu cha namna hiyo
hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?
Huyo anayeleta hoja za matokeo ya serikali za mitaa kaishiwa. Na kama ndivyo basi CCM na itangazwe mshindi sababu aliwagaragaza vibaya wapinzani.