Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Yahyamohamed1970, Chato unayoijua wewe si Chato real.....kwanza ukumbuke mgombea uraisi mwenyekiti wake wa mtaa hatoki CCM. Hapo nimekuwekea nukta, halafu unajidanganya kwa sasa Richmond ndo habari ya mujini......kwa nani sasa? Kwetu Kandawe habari ya mujini ni elimu,afya, maji,umeme,na kodi kubwa kwa wafanyakazi. richmond sio dili hata kidogo kwa sababu ni sanaa tu,kama ingekuwa deal serikali ingeendelea kulipia hiyo mitambo? Kwa nini usituambie Escrow na EPA?
Nisaidie kitu kimoja, ni mwanzamziki gani alipanda jukwaani hapo Chato kuburudisha wananchi ili tujiridhishe kuwa watu walikuwa FIESTA.
 
hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?

Ukisema unamzungumzia magufuli na si serikali za mitaa unakosea labda ungeenda kumhoji kila mtu kujua anavyo kubalika la sivyo utakuwa mwongo maana hujatwambia vigezo vya magufulu kukubalika
 
Peleka unafiki huko, toka lini we gamba ukaishauri chadema
 
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele

Da, sasa mnatakaje ndugu zanguni? Umati ukiwepo shida usipokuwepo shida. Wewe mafuriko yenu mnayotengenza kwa wasaanii na malori kusomba watu vijijini ndio unaona ni halsi? Ujue mnajidanganya linganisha hamasa ya watu wanaokuwa kwenye mikutano ya ccm na wale wa ukawa. hamasa ipo wapi zaidi. Kupima hamsa unaangalia mwitikio wa watu wanapoambiwa kwa mfano mabadilikooooooooo, kwa ccm nilimwona magufuli anajaribu kuiga ukawa kwa kupepea mikono kulia na kushoto watu wanaoitikia ni wachache sana pale mbele tu wengine wanamwangalia tu. By the way kwa nini magufuli anaogopa kukitaja chama chake?
 
Mnamzunguka mtoa mada swali lake ni hili tu.. kwani Richmoja ni ya nani basi uje na mashiko sio propaganda za Lumumba huwezi mfuate sila...ha
 
kitu kingine ambacho chadema inajisahaulisha ni kwamba serikali za mitaa zilifanyika escrow ikiwa hot. walifaidika sana na kura za hasira.
kwa sasa richmond ndo hot. tabiri matokeo

Haswaa richmond ndio hot sasa ukizingatia ukweli umetoka kuwa boss wa ccm JK ndio mwenye nayo. Mnyonge mliomnyonga kipindi kile kwa kafala ndio tutampa HAKI YAKE SASA. Lowass ndie rais na sio kubahatisha, lile genge la ccm lilimuonea na Dodoma likamkata ili asiwarudi, sasa kesi imekuja kwetu wananchi tutaamua Oct 24
 
kitu kingine ambacho chadema inajisahaulisha ni kwamba serikali za mitaa zilifanyika escrow ikiwa hot. walifaidika sana na kura za hasira.
kwa sasa richmond ndo hot. tabiri matokeo

Naona umesahau kitu muhimu kuliko cha hayo matokeo ya serikali za mitaa mnayojivunia nayo! Kmbuka kwamba wapiga kura wa matokeo ya serikali za mitaa walikuwa wale wale wa walioandikishwa 2009/2010. Vijana wengi ambao ndio wapenda mabadiliko hawakupiga kura kwa sababu hawakuwepo kwenye hilo daftari la wapiga kura. Kwa sasa tupo na tunavyo vichinjio vya ccm! Uje na hii hoja yako 27 Oct 2015 ndiyo tutaelewana mkuu.
 
Kwani Magufuli ni mgombea binafsi? watu wanataka mabadiliko acha kujitoa akili kwa mapenzi ya CCM

Wamemfanya magufuli mgombea binafsi ndo mana mabango ya magufuli hayana chagua ccm
 
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele

mburura
 
chadema muwe makini na mdundo mnaoucheza wa ngoma ya lowasa ya umati/mafuriko. siku hizi hotuba nzuri/mawe kwa utawala siyo tena ajenda yenu.
sikuwepo jana chato ila nimeishi chato kwa vipindi tofauti magufuli akiwa mbunge.
haijalishi ule umati wa chato ni wanachato au wanageita ila ukweli mchungu ni kwamba mkoani geita ukawa itapata pesa kura kiduchu sana za urais.
wekezeni kwenye siasa za ushawishi, mkiendelea kuwekeza nguvu kwenye kujaza watu pekee mtapotea kama wafuasi wa kibwetele

Unapiga kelele tu, kila mtu ana kura moja. Utawapigia kura wananchi wote wa Chato?
 
We endelea kutunga misamiati ya kibaguzi haitakusaidia. Arusha hii unayosema haipo popote mwongo mkubwa Mungu atakuhukumu kwa kutaka kutugawa . Huna tofauti na Lucifer. Nina ujasiri wa kukupinga kwa sababu nipo Arusha miaka 20 sasa hamna kitu cha namna hiyo
Ndugu, mficha maradhi mauti humuumbua. Arusha kuna tatizo, na chanzo cha tatizo ni Mr Low, hatufurahii ubaguzi kwa vile hatuna njia nyingine ya kuwarekebisha ngoja tuwaseme huenda mtabadilika. Hapa nimeweka hiyo link itafute uisome. Pia tafuta kisa cha cdm kuandama kwenda kwa mkurugenzi wakati wa uandikishaji wa bvr. Hoja namba 4 kati ya madai yao ilikuwa ubaguzi wa kikabila kati ya makabila asili ya ARUSHA zidi ya wachaga, yalikuwa wanawafukuza kwenye foleni za kujiandikisha. Kuna tstizo huko kaskazini, upende usipende ila ukweli ndiyo huyo.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/485639-ole-medeye-atangaza-vita-na-wachaga-asema-watang'oka-arusha.html
 
hapa namuongelea magufuli wala siiongelei ccm.
kwani magufuli aligombea uwakilishi serikali za mtaa?

Jitahidi kuwa na akili za ziada katika kuwaza na kutafakari mambo, kama wananchi waliweza kumchagua magufuli kama Mbunge wao halali ilikuwaje wasimuunge mkono kuwachagua wagombea wa CCM ambao Magufuli alisimama kuwanadi katika uchaguzi huo? kwa hiyo kiuhalisia kama waligoma kufanya hivyo inamaanisha hawamkubali Magufuli.
 
Huyo anayeleta hoja za matokeo ya serikali za mitaa kaishiwa. Na kama ndivyo basi CCM na itangazwe mshindi sababu aliwagaragaza vibaya wapinzani.

Watu ni wale wale. Wanajua kuwa Magufuli ndan ya CCM hawez kufurukuta. Hivyo kura zitapungua, mark my words.
Hata hivyo, Maguguli nae akienda Monduli bado watu watajaa!
 
Back
Top Bottom