Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Alishawahi waambia watu wa chato bila yeye wasingejua kuna kitu kinaitwa transformer kwenye umeme,hiyo ck nilikuwepo pale chato akitamka maneno hayo.
 
Magufuli anapigwa home and away
 

 
Last edited by a moderator:
Magufuli kweli hamuwezi lowassa. Leo hakufikisha hata nusu ya watu hawa. Uwanja ulikuwa una mapengo mengi. Kama ameshindwa nyumbani Basi tena
 
Ila yetu ya ukawa ilikuwa na miembe tulifunika sana hadi ikaota ghafla
 
Japo ni kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, lakini mwacheni Mungu aitwe Mungu!.

Pasco
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…