Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Ni kweli moto wa mabua umehamia kwa malofa na wapumbavu wa Chato alikozaliwa John Pombe Magufuli, mgombea Uraisi wa Chama cha Mapinduzi.


Chato1.jpg
Chato3.jpg

Chato2.jpg

Chato4.jpg
Chato7.jpg

Chato5.jpg
 

Attachments

  • Chato6.jpg
    Chato6.jpg
    108 KB · Views: 293
Hv UKAWA mnajitambua kweli?Kila concern yenu ni nyomı,mafuriko.Hata watu wakiwa kumi utasikıa nyomi hatare.Hao watu wa Chato wala si wengı kwa idadi ya ajabu,tungetafuta wangetupa idadi then tukangoja John aende huko ili tufanye ulinganifu.Maneno km hayo yalifanyika Jangwani na Moro.Mnajisıfıa kwa vıtu ambavyo havpo,sema hamhudhurii mikutana ya wenzenu kuona uhalisia.Mlizidiwa Jangwani,Moro na Tabora lakn mkawa mnakazana kuwa mnajaza watu.Hata hvyo mtapata watu kwenye mikutano wenye kiu ya kujiridhsha na uwezo wa mtu wenu kihoja na kinguvu.Bahati mbaya anashndwa kuprove,anawa-disappoint.
Kujifariji pia ni dawa.... Hata mwenyekiti wenu alisema hizo ni Picha za kutengeneza , naye alipata dozi yake ya kujifariji.
 
Basi kwa desturi za magamba wataanza kufanya maandalizi ya mkutano wa magufuli chato wiki mbili kabla. Ikiwa ni pamoja kukusanya watu kutoka vijijini na wilaya za jirani na chato ili kumfunika Lowassa! Jamaa wana kazi hawa mwaka huu! He! He! He! Hahahaahah!! Hu! Hu! Hu!
 
Hatuitaji mtu anayeongea kama kameza cd alafu mwisho wa miaka mitano anaogopa hata kupita mitaa aliyopiga kampeni maana hana alichotekeleza. Uliza meli za ziwa victoria ziko wapi.

Meli ziko ziwani
 
Kwani lazima upostp? Si ungechangia kwenye uzi aliouweka mwenzio ambao unaendana na wako
 
Wanachato nawahakikishia km lowasa alipitisha bomba la maji toka victoria kuja wananchi, hata nyie mtapat maji na ajira kwenu vijana hapa hakuna porojo za maneno, Ukawa ni Og na ccm ni mchina tn feki. Haaahaaahaaa mpeni kura Lowasa tupate mabadiliko.
 
Nimesikitshwa sana tena sana kwa TANESCO kuzima umeme hapa Mwanza ilipofika saa mbili usiku na ninahisi waliogopa kuonyesha mafuriko ya UKAWA kule Chato. Ilipofika saa tatu na dakika tano muda ambao taarifa ya habari ikiwa imekwisha wakawasha umeme. Nawaomba TANESCO mtende haki na Tulipo tuna Mungu nyuma yetu.
 
Si bora hata huyo Lowass anaongea kidogo…lakini sisi tumedhamiria kuwa hata jiwe(ambalo haliongei) likishindana na CCM sisi tutachagua jiwe..Issue yetu hapa sio kuongea bali ni kulitoa shetani CCM…Bora kukaa kimya badala ya kutukana watu..umeshasahau Magufuli alivyotutukana sisi wa Kigamboni?? "Kama hamna nauli pigeni mbizi"" Na hapo Chato kawatukana watu wa kwake "WANYE BARABARANI WASAMBAZE KINYESI IWE RAMI"
Sasa si bora kukaa kimya ndio busara mkuu!!

hafai kabisa kuwa Rais huyu mtu
 
Back
Top Bottom