Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hata mi3 nashangaa..nilijua itakuwa disaster....afu hiv mamake yupo?bwashee mbona nyumbani kwa mpendwa wetu Chato, wanyonge hawalii na kugaragara chini kama huko walipotoka??
halafu pia wanyonge hao ni wachache foleni inaenda kwa kusuasua kusubiri watu!.
Hapana kabisa.Yaaani hakuna!wana JF
Kwa nafasi ya
Makamu wa Rais
Je yule mkuu wa mkoa wa Simiyu
Anthony Mtaka
hawezi kufit?
rekodi zake sio mbaya sana ila pia sio mtu wa show off!
View attachment 1734085
Mama yake yupo icu kitambo mnobwashee mbona nyumbani kwa mpendwa wetu Chato, wanyonge hawalii na kugaragara chini kama huko walipotoka??
halafu pia wanyonge hao ni wachache foleni inaenda kwa kusuasua kusubiri watu!.
Hata mi3 nashangaa..nilijua itakuwa disaster....afu hiv mamake yupo?
Ndo hicho nachotaka kujua..sijui wamemwambia? Dah😭..inauma kuzika mtotoLeo walikatazwa kwenda kua uwanja mdogo
Mama yake yupo icu kitambo mno
Mbrazil vipi umeenda kuaga Mh.?Hata mi3 nashangaa..nilijua itakuwa disaster....afu hiv mamake yupo?
Hapana aisee...nipo tu nashangaa shangaaMbrazil vipi umeenda kuaga Mh.?
Umeadika sana. Vipi zile mishe zinaendelea huko GTHapana aisee...nipo tu nashangaa shangaa
Alhamudulilah zinasongaUmeadika sana. Vipi zile mishe zinaendelea huko GT
Vyema sana natumaini hata asili ya Kibrazil haijaharibika na kwa sasa hazina imeongezeka.Alhamudulilah zinasonga
Nyamizi said:Hizi dharau sasa,kwa hiyo umewaona Wasukuma kulaji yao ni mpaka misibani? Siku zote kusipokuwa na misiba huwa wanaishije? Halafu kwa akili hizi mje kutuomba kura tena,karibuni 2025!
Huyu hawezi sababu ya kwanza Ana miaka 38, takwa la kisheria makamo anatakiwa awe na miaka 40 and abovewana JF
Kwa nafasi ya
Makamu wa Rais
Je yule mkuu wa mkoa wa Simiyu
Anthony Mtaka
hawezi kufit?
rekodi zake sio mbaya sana ila pia sio mtu wa show off!
View attachment 1734085
Ww kila siku umeganda kwenye habari za Magu!!? ona noma
Ww kila siku umeganda kwenye habari za Magu!!? ona noma
Niko zoezini hebu niace kwanza mkuu! Ulimi njeVyema sana natumaini hata asili ya Kibrazil haijaharibika na kwa sasa hazina imeongezeka.