kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
AY atakuwa na 39-42 hiviAnakosa thelathini na tano (35) kweli huyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AY atakuwa na 39-42 hiviAnakosa thelathini na tano (35) kweli huyo?
Ushaambiwa mbongo MPE picha tu maelezo yote ataweka yeyeShkamooni wabongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushaambiwa mbongo MPE picha tu maelezo yote ataweka yeyeShkamooni wabongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
To a mwarabu wa karagwe ...weka mkaragwe AMA mnyaruwanda easy...hakuna mwarabu wa tanga wala PembaNgoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Mkuu haya mambo yoyote yanaweza mtokea...
Mkuu haya mambo yoyote yanaweza mtokea...
Ila kwa AY dah,pole yake maana jamaa ni mtu poa sana
Na kama waliamua kumwagana poa tu,Acha maisha yaendele
Ova
Kumkomoa msela tuKabisa AY cool sana inawezekana Demu ndio kazingua kisha AY akam_dump sasa Mnyarwanda kaona kujifariji ngoja ampostie NJEMBA.