Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
King crayz gkUmeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King crayz gkUmeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.
Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Ana kinundu[emoji1] [emoji1]Mfalme **** nae dress code zake bwana, hivi kwa nini havuagi kofia huyu jamaa? Ana nini kichwani?
Kaharibu tu harusi ya mwenzake,halafu hawa wote AY na GK si WanyakBangi mbaya kweli... sasa GK ndio kavaa nini hapo utadhani kaenda sokoni kununua viazi
Tatizo Bangee za mchana ,anaidharirisha harusi ya mwenzake kwa kwenda na pajama harusini,ingekuwa harusi ya ndugu yangua asingeingia ukumbini hata kama ana kadi,hii ni dharau kwa bwana harusiMh! hata kama sio harusi yako ila GK kweli huna hata kasuruali ka kitambaa!??
Havai sutiJikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Yani ukanda wa Ngara,Kagera na Kigoma mjini,Kasulu, Kibondo, Kigoma umejaa wakimbizo wengi sana mmoja wao ni huyu Gentamycine na kundi lake wapo wengi sana halafu kutwa kujidai Watanzania nakereka mpaka basi...Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Hongera kwa Kijana, Uzuri wa AY na FA Maisha yao binafsi wameyatenganisha na Maisha ya Muziki jambo ambalo ni jema kwa Afya ya Ndoa zao!!!
Hahaha! Mkuu umejuaje?Huyu Salama kuna muda anakojoa Akiwa amesimama.
Flaviana Alisha olowewa kitambo sanaHivi flaviana si aliolewa.....maana Naona kimya sana.....
Kama ni kujua kutenganisha maswala ya kazi na personal life kwakweli nimpe Hongera yake
Cc dokta mihogo baloz wa swedenHata serikalini watu wa umri huo wanaanza kutengwa kwenye ajira mpya.
Kaharibu picha na bangi zake,wenzake wamekula suti yeye kavaa uchafJikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
AY wa 1982.Duh! Hatari sana.
GK kwa nini hakui kiakili?? Uvaaji gani huo??Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Utosini au kichogoni[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana kinundu[emoji1] [emoji1]
Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Sawa mushi,tunashukuru kwa kichamboHuyo GK kaamuwa kuwa tofauti. Kwanza harusi ni ya msanii mwenzake mnashangaa nini? Halafu yeye mwenyewe jina lake la kiusanii ni “Crazy”, halafu akifanya crazy things mnashangaa! Watu wengine bhana! Sasa mmebakia kuipa bangi jina baya kisa narrow mind! Stupid! Mnalalamika kama vile harusi ilikuwa ya mtoto wa shangaziyenu!
Ila huyu braza GK.. Usela imetosha.. Dah. Tupiamo na tusuti humuoni mkuu kushoto hapo?! Unatuzingua.Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()