Yaliyojiri harusi ya AY February 24,2018; Wasanii kibao akiwemo GK walialikwa

Yaliyojiri harusi ya AY February 24,2018; Wasanii kibao akiwemo GK walialikwa

Mziki sikuhizi unaenda na Kiki so kwa upande wangu nadhani GK alivaa vile ili kupata attention especially kwa wasio mjua au kumfahamu.
Something coming soon from King Crazy GK i think so
 
Hongera kwa Ay kuaga ukapera.watu walipendeza balaaa isipokuea GK aliharibu shughuli ya mwenzake kama hakuwa na nguo ya kuvaa ni bora angechill home tu.aliboa kishenzi
Analeta usela wakati sura inasuta umri
 
Wameishi wote miaka 10 na mtoto wamezaa ndoa inafungwa au inabarikiwa hapo
ETI NDOA INAFUNGWA AU INABARIKIWA ,IBARIKIWE KWANI IMELAANIWA.WAZAZI WAO WALISHAWABARIKI NA MUNGU ALISHAWABARIKI SIKU WALIPOAMUA MIOYONI MWAO NA KUBATA BARAKA ZA WAZAZI.SUALA LA PADRI AU MCHUNGAJI KUBARIKI TENA HIZO NI MBWEMBWE TU.NI KAMA VILE UNATAKA KUSAFIRI NYUMBANI UKAMUOMBA MUNGU AKULINDE,NJIANI UKAKUTANA NA KIONGOZI WA DINI NAYE AKAKUOBEA NA NDANI YA GARI MTU MWINGINE TENA AKAOMBA.SIJU HIYO NI NINI.
 
Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....
9a6a028a091bff6f8e92ae18b239ac3a.jpg
Uyo jikei kavaa nini? Wenzie suti fresh yeye bado ana usela
 
Dhaaaaaaaa ndoto zang
Na mm n kuoa mnyaruanda
Ila naona zkififia tu dhaa!!

Salha popote ulipo
 
Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Una akili boyaaa hujui ulisemalo.tatizo liko wapi hapo akisema ni mnyarwanda?? Hivi unajua hata hizo Rwanda na Burundi zilikua nchi moja na Tanganyika enzi hizo. Kichwa chako kimejaa mavi.. wivu tu.
 
Kuna huyu kijana anajiita mcpilipili mjinga sana wala hata hajui kuchekesha kila siku ohh nataka mnyaruanda. Mtu mnzima hovyo.
 
Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Yote hayo yanini?
 
Back
Top Bottom