kwame nkuruma jr
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 301
- 640
Huyu AY nadra sana kumsikia kwenye masuala ya Zinaa/ngono kama akina Diamond.Hongera sana kaka Yesaya kwa kupata mke.
Namkumbuka Amani wa Kenya na Flavian matata .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu AY nadra sana kumsikia kwenye masuala ya Zinaa/ngono kama akina Diamond.Hongera sana kaka Yesaya kwa kupata mke.
Sawa duller squareNgoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Mbavu zangu mieee[emoji23] [emoji23]Sawa duller square
Bado ina memba wa kutosha wa kudumuDah kambi ya mabechala imepata pigo
I[emoji23] [emoji23] [emoji23] Bongo kuwa maarufu ni shiiidababaqe....wabongo mshamchimba,soon mtapeleka file kwa mange
Huyu Salama kuna muda anakojoa Akiwa amesimama.Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Mmmmm ay anamtoto na huyo wife wake?Wameishi wote miaka 10 na mtoto wamezaa ndoa inafungwa au inabarikiwa hapo
Mkuu ,uzee unaanzia miaka 35?
Hivi flaviana si aliolewa.....maana Naona kimya sana.....Namkumbuka Amani wa Kenya na Flavian matata .
Aisee Inaonekana mambo ya Karagwe yote unayajua?Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Kwanini?Huyu Salama kuna muda anakojoa Akiwa amesimama.
Gk duuJikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Umeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.Huyu GK achukuliwe akapimwe akili...
huyo anacheza kwenye 40Anakosa thelathini na tano (35) kweli huyo?
[emoji3][emoji3][emoji3] Ze Dudu mpaka leo analaani kukutana na mama ake Willy... labda ndo amemfanya asioe mpaka leo!!Bado ina memba wa kutosha wa kudumu
kama bachela dudubaya
45 si 35Hata serikalini watu wa umri huo wanaanza kutengwa kwenye ajira mpya.
Huyo Jikei atakuwa avuti ngada kweli..???Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()