Innay
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 297
- 291
Yani ningekuwa kwa event hiyo...nisingemruhusu ukumbini..Umeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ningekuwa kwa event hiyo...nisingemruhusu ukumbini..Umeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.
Sawa lakini G.K kazidi, hata kama bichwa baya wajiachie ili tuwazoee, ujue ukificha kitu ndo watu watataka kujua kwa nini unafichaSijawahi muona physically pasipo kofia, kofia ni sehemu ya dressing style yake, kama bwana mdogo Millardayo naye mostly huwa na kofia, but sometimes structure ya kichwa huwafanya wasipende kujiexpose
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Huyo ni 'msanii' na harusi ni ya 'msanii' so don't take it seriousHuyo jamaa hovyo kabisa. Uvaaji gani huo ktk tukio maalumu la mwenzie.
Kama baba ni dizaini ya JPM acha amchukie tu.Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Jikei kavaa manini haya jamaniiiiJikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Huyu AY nadra sana kumsikia kwenye masuala ya Zinaa/ngono kama akina Diamond.Hongera sana kaka Yesaya kwa kupata mke.
Haa haa discipline muhimu bwana katika jamii.Kuna wasanii yaani header zao ziko hapo kwenye NENO kila siku.Tunatak Kusikia walau mara moja moja Mawazo Ujenzi asaidia watoto yatima au apeleka msaada kwa wahitaji mahospitalini nk(ni.mfano).Hua anapiga nyatu nyatu... Hivi unaweza sema Jeikei enzi zake hakua na makali kama ya Mzee Kipara?? Sema Jeikei yeye ni nyatu nyatu sana....
Haa haa discipline muhimu bwana katika jamii.Kuna wasanii yaani header zao ziko hapo kwenye NENO kila siku.Tunatak Kusikia walau mara moja moja Mawazo Ujenzi asaidia watoto yatima au apeleka msaada kwa wahitaji mahospitalini nk(ni.mfano).
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
jk ana ushamba fulani wa kinyakyusa japo kakulia upanga.Jikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
hiyo story ni kwa hisani ya Da mangeNgoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
Hayatuhusu! !Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
GK! GK! GK! MmmhJikei nae alikuwepo jamaniiiii.....![]()
Kimsingi ndio lilipotoka!babaqe....wabongo mshamchimba,soon mtapeleka file kwa mange
Kisa,hajavaa suti?!Gk kaharibu picha kabisa
Sio ndugu banaa sema ni mshikaji wake wa kitambo coz walikuwaga kwenye kundi moja LA muziki LA "east coast team"GK ni ndugu na AY. Ni maisha tu nadhani uwepo wake AY kafurahi nami pia nimefurahi. Usiache mbachao kwa msala upitao.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]balaa