Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Mchizi umetishaUmeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchizi umetishaUmeshasikia anaitwa crazy akapimwe akili ya nini tena.
Muuza samaki..fid kwaya amefanya vema.. Hakuwa mbali official dress code.. Wasukuma wanajifunza sio kama CRAZY gk.. Sema sasa Hugo mmasai wa kukaribishwa yupo kama watermelon lililoanza kuoza.. Rangi rangi nyingi kama mother nature..Mwingine huyu muuza samaki ila watu hawamuoni, wamemuona GK tu View attachment 701633 .
Mmmh? Nna waiwasi na huo mwakaAY wa 1982.
Kwahiyo 35 kwako ni mzee? Lazima utakuwa o level ww.Anakosa thelathini na tano (35) kweli huyo?
Hamna! Ma two centsSawa mushi,tunashukuru kwa kichambo
Ahsante kwa kutuza ingawa story yako haijulikani malengo yakeNgoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
GK kama mzuka wa walking dead au yule baba wa Znation
Unakereka seriously!!! Kanywe sumu usikereke sasa au kapande daladala la hewani ili upigwe risasi stupid idiot ubaguzi tu pambana na hali yakoYani ukanda wa Ngara,Kagera na Kigoma mjini,Kasulu, Kibondo, Kigoma umejaa wakimbizo wengi sana mmoja wao ni huyu Gentamycine na kundi lake wapo wengi sana halafu kutwa kujidai Watanzania nakereka mpaka basi...
Mkubwa sana au? 35 mbona inamkubali fresh?Mmmh? Nna waiwasi na huo mwaka
Unamaanisha murphy.?
haituhusu hiyo, tunachojua AY kaoa mwanamke wa Rwanda hayo mengine ni chuki binafsiNgoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
acha kuchanganya mafail wewe hao hawana mtotoWameishi wote miaka 10 na mtoto wamezaa ndoa inafungwa au inabarikiwa hapo
Ila wana watoto?acha kuchanganya mafail wewe hao hawana mtoto
GK bado ana usela mavi yani bado ana mawazo ya kizamani ya ukamanda kamanda ndiyo maana hata akihojiwa anaongelea ukamanda tu jamaa anaishi zama za zamani mpaka sasa.Mh! hata kama sio harusi yako ila GK kweli huna hata kasuruali ka kitambaa!??
mama na baba yako wameoana ama wapo kimada?waulize alafu urudi hapaKaoa akiwa mzee sana.
Tunamkaribisha kwenye chama.
Najua aliolewa mda me najiuliza vipi hatujawahi kumwona shem since thenFlaviana Alisha olowewa kitambo sana
Ngoja niwape story ya huyo dada mnaemuita mnyarwanda..
Remy alizaliwa Karagwe na kukulia Karagwe(omurushaka)shule ya msingi amesoma tegemeo karagwe baba yake ni Mwarabu alikua hapo Karagwe miaka mingi ila kwa sasa anakaa Mwanza!!mama yake remmy na huyo Mwarabu waliachana wakiwa na watoto wawili,remmy naako kadada mnakokaona kwenye picha wakiwa wote,mamayake remmy alikua ni mkimbizi wa vita hivyo yeye ni mnyarwanda ambaye ndugu zake karibia wote wanakaa huku bongo, Karagwe!!sehemu moja inaitwa kwenda..
Baada ya kuachana na mmewake mama rehema(remmy)alirudi Rwanda huko aliolewa na askari polis mabaya mpka Leo wanaishi wote,huyo askari anaaminiwa sana kwenye serikali ya kagame so yuko vizuri ndo maana watoto wa huyo mama akina rehema vyuo wamesoma China,
Rehema sio mnyarwanda ni Mwarabu wa Karagwe.
Mama remmy aliwapindikiza mbengu mbaya sana watoto,watoto wanamchukia sana babayao kama mnavyojua ma single maza walivyo na visilani!!
CcYani ukanda wa Ngara,Kagera na Kigoma mjini,Kasulu, Kibondo, Kigoma umejaa wakimbizo wengi sana mmoja wao ni huyu Gentamycine na kundi lake wapo wengi sana halafu kutwa kujidai Watanzania nakereka mpaka basi...