Yaliyojiri harusi ya AY February 24,2018; Wasanii kibao akiwemo GK walialikwa

To a mwarabu wa karagwe ...weka mkaragwe AMA mnyaruwanda easy...hakuna mwarabu wa tanga wala Pemba

Kama mama ametunza amehangaika mda woteee mahari ijee kwababayake kama nani fankuru manyoya mababawoote wanaotesa wakezao NA kutaka neema Sikh zao za mwisho

Mwisho nampongeza mpwaa kuondokana NA ukapera NA kuamia kwenye familia ya kulala usiku bila nguo...mola awatangulie awape watoto wenye furaha NA akili
 
Mkuu haya mambo yoyote yanaweza mtokea...
Ila kwa AY dah,pole yake maana jamaa ni mtu poa sana
Na kama waliamua kumwagana poa tu,Acha maisha yaendele

Ova

Kabisa AY cool sana inawezekana Demu ndio kazingua kisha AY akam_dump sasa Mnyarwanda kaona kujifariji ngoja ampostie NJEMBA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…