GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huo Ndio ukweli
CAG sio muhimili wa serkali ila ni mfanyakazi wa serkali
Huyu CAG Mstaafu aliingizwa kichwa na wanasiasa wachumia tumbo akajiona Ndio mwamba
Akapumbumzike alee wajukuu
Huyu wa kwenu ndiyo kichaa na amekwisha kiri mwenyewe mwaka juzi akiwa Mara. Alisema amemchagua Luaga Mpina kuwa Waziri wa mifumo kwa vile Luaga Mpina ni kichaa kichaa kama yeye Jiwe.Grow up and be respectful to your president, huwezi kumlinganisha na huyo kichaa. Kuweni na shukrani na democracy ambayo ameileta JPM na kukuza uchumi wa Tanzania. JK mlimwita Vasco Da Gama na mnafahamu Hazina hakukuwa na fedha alipoondoka hata vifaranga vyake vilikuwa na biashara huyu anafanya juhudi za kufufua uchumi mnaanza tena hadithi za Abunuwasi na Bulicheka.
Mkaguzi na mdhibiti mkuu. Neno mdhibiti linatumikaje tumikaje yaani. Anamdhibiti nini? Anadhibiti nani? Mipaka ya kudhibiti ni ipi?
Maswali mengi, muda mchache.
Mkaguzi na mdhibiti mkuu. Neno mdhibiti linatumikaje tumikaje yaani. Anamdhibiti nini? Anadhibiti nani? Mipaka ya kudhibiti ni ipi?
Maswali mengi, muda mchache.
Tunamuombea maisha ili aone raisi ajaye jinsi atavyokuwa na moyo wa huruma, apendaye demkrasia, asiyekubali watu waatekwe tu kama akina Mo na watu alafu awaogope watekaji, asiyekubali kuweka watu wa kabola yakw kla idara na mambo kama hayo.Umejitahidi kufafanua lakini huyo Magufuli keshaamua hivyo, ingewezekana mtu kuombewa mauti ningewashauri mumuombee lakini ndio hivyo tena.
Mpina , Kanga Lugola na wenzake wakiwa kamati ya Bunge walikamatwa kwa rushwa, ikafunikwa kwakuwa ni nzi wa kijaniHuyu wa kwenu ndiyo kichaa na amekwisha kiri mwenyewe mwaka juzi akiwa Mara. Alisema amemchagua Luaga Mpina kuwa Waziri wa mifumo kwa vile Luaga Mpina ni kichaa kichaa kama yeye Jiwe.
Halafu usiseme uwongo, JK aliacha Serikali ikiwa na hela. Pili huyu anauwa uchumi wala hajengi uchumi
Majaji na wanasheria tupo, amekiuka sheria, yeye ni alfa na omega, full stopInabidi ikatafutwe tafsiri ya kimahakama na baada ya hapo ndipo mabadiliko yafanywe kuputia Bunge.
Namuuliza yeyote mwenye uelewa wa neno mdhibiti/controller.Sasa hapa unamuuliza nani Ndugu? Umeambiwa Mimi ndiyo Assad?
Phd ya mlimani inamtuma hivyo,Rais anasema hawezi kupewa mamlaka ya kuteua akakosa mamlaka ya kutengua. Tumwulize anaweza kutengua uteuzi wa jaji mkuu ama jaji yoyote wa mahakama kuu?
Ajaye ni yupi zaidi yake yeye, umesahau wanasema KATIBA inamtaka atawale miaka 10?!Tunamuombea maisha ili aone raisi ajaye jinsi atavyokuwa na moyo wa huruma, apendaye demkrasia, asiyekubali watu waatekwe tu kama akina Mo na watu alafu awaogope watekaji, asiyekubali kuweka watu wa kabola yakw kla idara na mambo kama hayo.
Ana kazi nyingi, kamwachia MEKO nchi yakeNasikia Assad kapata bonge la mkataba serikali ya Sweden
ataondoka 2035, atakuja mwengine, at that time yeye atakuwa THE HAGUEAjaye ni yupi zaidi yake yeye, umesahau wanasema KATIBA inamtaka atawale miaka 10?!
Wao katiba ina wa favour wao tu, kwa wengine lile ni kama gazeti la uhuru halina thamani.
Huo Ndio ukweli
CAG sio muhimili wa serkali ila ni mfanyakazi wa serkali
Huyu CAG Mstaafu aliingizwa kichwa na wanasiasa wachumia tumbo akajiona Ndio mwamba
Akapumbumzike alee wajukuu
Hilo ndiyo jibu sahihi lkn bahati mbaya hawataki kulisikia hilo nenoLipo hitaji la kuboresha Katiba yetu.Kupunguza nguvu muhimili wa executive.