GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huo Ndio ukweli
CAG sio muhimili wa serkali ila ni mfanyakazi wa serkali
Huyu CAG Mstaafu aliingizwa kichwa na wanasiasa wachumia tumbo akajiona Ndio mwamba
Akapumbumzike alee wajukuu
Hili jambo hata Mimi nimeanza kuliwaza na kuliangalia kwa marefu na mapana yake naona nikaanza Kuchanganyikiwa nalo tu.