Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

Kwa tafsiri yangu wakati akiwa TRA alikuwa na division 2, alivyoondolewa akaenda kuwa RAS akapata muda wa kurisiti paper akapiga division one then rais akampa uCAG!
 
Kumbe kwasasa anajiona ni mhimili mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…