#COVID19 Yaliyojiri JamiiForums Clubhouse kwenye Mjadala wa UVIKO-19, Umechanja au haujachanja? Nini mtazamo wako?

Huu mjadala ungedumu kwa muda wa siku tatu, napendekeza. Kwa wakati huo huo uliopendekezwa, ili kuwapata wadau waliojiandaa wengi zaidi.

Maana inaweza kutokea baadhi ya maswali muhimu yakakosa majibu au majibu yasijitosheleze.

Au kuna taarifa ilitolewa humu JF kabla, kuwajulisha watu?
 
Nimechanja niko fiti na familia ,ukichanjwa unaondoa woga badala ya kusema eti woga ndio unaouwa .

Woga wa kutokuchanjwa ni hatari Sana ,ukichanjwa unajiamini Sana na haina madhara

Kwa watu wanaotoka/aliokatika familia duni kugharamia matibabu ya Corona ni ishu kuna waginjwa wanapewa bills za mil 5 hadi kumi ni hatari sana usipochanjwa

USSR
 
nafikiri kuweka vaccination status ya washiriki mmekosea maana wote hapo wamechanjwa, alternatively ilitakiwa kufanya jitihada za kuwapata ambao hawajachanja ili kubalance otherwise itachukuliwa kama ni kampeni ya kuhamasisha watu kuchanja na si kupata maoni huru
 
Na ndio ilivyo...Bashungwa hakuja bure
 
"Nimechanja nitashiriki"- uelekeo ushajulikana🤣
Mkuu umefungua link?

 
Tusisahau pia kusikiliza hii.
 
Ni chanjo gani hapo nyuma walipewa wanadamu kwa ajili ya kujikinga na homa flani kisha wakachanjwa badae waliambukizwa nao wanaathirika? Kwa mfano chanjo ya polio, chanjo ya uti wa mgogo. Chanjo ya ini
sijaelewa swali lako
 
...Harafu kuna muuza genge kule Mbagala ugali wenyewe mtihani,panadol kuzipata kwa manati,yupo bize akipayuka hataki kuchanjwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…