Polite
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,095
- 816
Taifa Kwanza ,kwani maendeleo anayofanya jpm,anafanya kwenye taifa lipi?Huyu mzee 2015 nilimpa kura, mwaka huu atanisamehe...taifa kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa Kwanza ,kwani maendeleo anayofanya jpm,anafanya kwenye taifa lipi?Huyu mzee 2015 nilimpa kura, mwaka huu atanisamehe...taifa kwanza
Maendeleo imekua ufisadi?Mafisadi na yeye unajiweka wap ufisadi mkubwa wa uwanja wa chato bila kibali cha Bunge.
Daaah huyo mtu wee acha tu
Ccm inapendwa sanaKweli CCM imebuma haipendwi tena..huu Uzi umewekwa toka SAA sita mpaka SAA hii mi ni mchangiaji Wa nne.
Aliyebaki kutibiwa nje na mabeberu ni Lisu tu
Mbona unatumia nguvu nyingi kujibu swali hadi unajamba?Huna sera kaa kimya, uliona wapi ulaya inajengwa kwa 5 yrs!? Labda ulaya ya tabora.