Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kampeni ya Dkt. Magufuli kuwania Urais 2020-2025 mikoani Iringa na Njombe (Sept 29, 2020)

Huna sera kaa kimya, uliona wapi ulaya inajengwa kwa 5 yrs!? Labda ulaya ya tabora.
Mbona unatumia nguvu nyingi kujibu swali hadi unajamba?

Hayo mambo ya kwamba nchi yetu itakuwa kama Ulaya baada ya miaka 5 aliyasema Jiwe mwenyewe 2015. Sasa swali la uliona wapi Ulaya inajengwa kwa 5 yrs kamwuliza huyo JPM wako afafanue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…