Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Gambia pamoja na rais kuwa mwanajeshi ameondoka kwa kura za watu.

Kinachotushinda sisi ni kutangulizi propaganda. Na hatutaki kubadilika. Hatutafika kabisa mkuu.

Mpaka Mbowe aondoke ndo tutafuata sera na falsafa ya chama.
Inawekeza kwa watu au kwa tume ya uchaguzi na jeshi la polisi? Anayeamini leo kulikuwa na uchaguzi huru anajidanganya mwenyewe. Nani anayechagua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi? Hapo utajua nani anapaswa kushinda.
 
Haya yanatokea chini ya uongozi wa rais John P. Magufuli aliyeaminiwa na Watanzania. Haya yanayotokea ni maagizo yake yanayotekelezwa na wasaidizi wake. Ni lini haki itatendeka Tz bila kujali itikadi, ukanda, kabila wala dini ya mtu?
 
Gambia pamoja na rais kuwa mwanajeshi ameondoka kwa kura za watu.

Kinachotushinda sisi ni kutangulizi propaganda. Na hatutaki kubadilika. Hatutafika kabisa mkuu.

Mpaka Mbowe aondoke ndo tutafuata sera na falsafa ya chama.

Hilo la Mbowe kuwepo au kutokuwepo kawaambie wanacdm maana wao ndio wenye haki ya kumchagua au kumuondoa.
 
Ni dhahiri katika uchaguzi mdogo uliorudiwa leo, CHADEMA wamepigwa vibaya mno ndo maana hatujasikia kelele. Tunasubiri kusikia wakilalamika kuwa wameibiwa kura, sasa sijui wale walinzi wao wa kulinda kura wamegoma au?
 
Vitu vingine vipo very clear CCM itashinda na 2020 upinzani wakiendelea na viongozi wa zamani waliochoka na kuishiwa mbinu na juu yake wapiga dili watapigwa chini vibaya kama MDC ya Zimbabwe. Shauri yenu.

Mkuu sidhani Kama unaelewa tatizo. Uporaji wa haki za watu ni kwa sababu viongozi ni wa zamani?
 
Vitu vingine vipo very clear CCM itashinda na 2020 upinzani wakiendelea na viongozi wa zamani waliochoka na kuishiwa mbinu na juu yake wapiga dili watapigwa chini vibaya kama MDC ya Zimbabwe. Shauri yenu.
hii ni sababu ndogo sana ili upinzani ushinde ni lazima waache maslahi binafisi na iwe masilahi ya watz wote wavunje vyama vyote waunde chama kimoja tu cha upinzani ndo tutashinda ,vinginevyo tuwe washiriki na CCM wawe washindi
 
Wapenda demokrasia hatuwezi kufurahia matokeo ya namna hii
 
Kama kweli matokeo yanayotangazwa haya ni kweli, basi tusilalamike
 
Ukiona CCM wanaanza kuwaweweka watu sawa huku mitandaoni, eti uchaguzi ulikuwa wa amani na utulivu, basi ujue washafanya mipango ya kuiba kura ama washawaandaa watu wenye kariba ya Jecha ili wafute matokeo endapo watapigwa.
 
Back
Top Bottom