Uchaguzi wa Jimbo la dimani hadi sasa ni machafuko matupu, mawakala wa cuf wametolewa kwenye vyumba vya kupiga kura kwa sababu ya KUGUNDUA na KUHOJI mambo yafuatayo:
Wamegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshatiwa tiki kwa mbunge wa ccm
Wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na walipo pinga MAWAKALA WETU, (kaa Mujib wa Sheria na Kanuni za Sheria za Uchaguzi) JESHI LA POLISI waliwakunja na kuwatoa Nje
Chumba number 6 imegundilikana kwamba masunduku yote yamejazwa kura
MAPANDIKIZI NI MENGI YAKILINDWA NA KUSINDIKIZWA NA JESHI LA POLISI.
Mazombi waanza kupiga watu maeneo ya fuoni kituo cha kibondeni