MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Utaendelea kulialia mpaka kuzimuUnacheza mchezo ambao mwenzio kafungwa kamba miguuni kisha unatamba ushindi si ni ujuha huo? Yaani CCM inafanya mambo ya kijuha na kwa vile imeshazoea inaona ni kawaida tuu.
Eti DED ambaye ndio msimamizi wa uchaguzi anatembelea vituo huku kaongozana na Katibu wa ccm wilaya husika bila hata aibu! Bora kungekuwa na Mungiki huku kwetu nako maana wale wakiwa na pinde zao hawamkosi mtu.
WAPINZANI KAMA HAWATA SIMAMIA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI 2020. WASITHUBUTU KUINGIA KWENYE UCHAGUZI, NI BORA KUWAACHIA CCM, WAENDELEE NA UTAWALA WAO. TUTASHINDWA KUWAELEWA, ISIJE IKAWA NA NINYI, MAPANDIKIZI. KWA CHAGUZI HIZI NDOGO, MSIPOJIFUNZA, BASI TENA. HATUTAWAAMINI NA NINYI, MTAKUWA NI WALEWALE TU, MNATUZUGA WATANZANIA. NGOJA TUSUBIRI.
KweliUlitegeme kitu tofaut ilhal Jecha yupo
Watasingizia kura zao zimeibiwa!
Ufipa kuna bundiTunapowaita jina la yule mnyama tunapigwa ban. Hamna kitu nyie porojo miiiiiiiingi. Hamna kitu nyie na mamvi wenu kwisha habari yake. Haya ngoja kesho usikie misababu kibaaaao. Kwishaaaaaaaaaaaaaaass
Yawezekana ukawa unayasema hayo ukiwa kwenye nyumba ya tope subiri siku ukuta ukidondoka maumivu utakayoyapata utatamani hata mtu akupe tone la maji angarau kotomro lako lilowane na hutompata muombe sana mungu akupe hekima na roho ya huruma ili ujitambue ya kuwa hayo unayoshabikia ni sawa na ziroTena wapigwe sana maana tamaa imewazidi wapinzani ni juzi tuu mmetuaminisha mlishinda mkaporwa ushindi tume ile ile mazingira yale yale uchaguzi unaandaliwa mnakimbilia kichwa kichwa bora mmpate mnacho stahili mmezidi tamaa
Malizia tu uje ugongewe mlango.kirahisirahisi hivyo upewe katiba mpya
maendeleo au mabadiliko yoyote yana
gharama zake ambapo hizo gharama
hata hao viongozi wa upinzani huziogopa
hizo gharama
amani huwa haiji hivi hivi bila ncha ya
upan....
Unacheza mchezo ambao mwenzio kafungwa kamba miguuni kisha unatamba ushindi si ni ujuha huo? Yaani CCM inafanya mambo ya kijuha na kwa vile imeshazoea inaona ni kawaida tuu.
Eti DED ambaye ndio msimamizi wa uchaguzi anatembelea vituo huku kaongozana na Katibu wa ccm wilaya husika bila hata aibu! Bora kungekuwa na Mungiki huku kwetu nako maana wale wakiwa na pinde zao hawamkosi mtu.
ndio ufikirie kwa umakiniCCM imeshinda Kata zote isipokuwa Kata ya Duru manyara
demokrasia sio kushinda tuu hata kushindwa ni demokrasia...Democracy bado sana nchi hii
UmepanicYawezekana ukawa unayasema hayo ukiwa kwenye nyumba ya tope subiri siku ukuta ukidondoka maumivu utakayoyapata utatamani hata mtu akupe tone la maji angarau kotomro lako lilowane na hutompata muombe sana mungu akupe hekima na roho ya huruma ili ujitambue ya kuwa hayo unayoshabikia ni sawa na ziro
Ya mwaka 1995 hayakuwa na tarehe?Hii ni form batili, haina tarehe, mwezi wala mwaka. Haya no matokeo ya mwaka 1995 nini?
Ufipa kuna bundi
Hahaha