Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Unacheza mchezo ambao mwenzio kafungwa kamba miguuni kisha unatamba ushindi si ni ujuha huo? Yaani CCM inafanya mambo ya kijuha na kwa vile imeshazoea inaona ni kawaida tuu.
Eti DED ambaye ndio msimamizi wa uchaguzi anatembelea vituo huku kaongozana na Katibu wa ccm wilaya husika bila hata aibu! Bora kungekuwa na Mungiki huku kwetu nako maana wale wakiwa na pinde zao hawamkosi mtu.
Utaendelea kulialia mpaka kuzimu
Hahaha
Chama kinacho tegemea Kick,Uzushi ma ZeRo
Kamwe hakiwezi kufanikiwa.
 
WAPINZANI KAMA HAWATA SIMAMIA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI 2020. WASITHUBUTU KUINGIA KWENYE UCHAGUZI, NI BORA KUWAACHIA CCM, WAENDELEE NA UTAWALA WAO. TUTASHINDWA KUWAELEWA, ISIJE IKAWA NA NINYI, MAPANDIKIZI. KWA CHAGUZI HIZI NDOGO, MSIPOJIFUNZA, BASI TENA. HATUTAWAAMINI NA NINYI, MTAKUWA NI WALEWALE TU, MNATUZUGA WATANZANIA. NGOJA TUSUBIRI.

kirahisirahisi hivyo upewe katiba mpya
maendeleo au mabadiliko yoyote yana
gharama zake ambapo hizo gharama
hata hao viongozi wa upinzani huziogopa
hizo gharama

amani huwa haiji hivi hivi bila ncha ya
upan....
 
Tunapowaita jina la yule mnyama tunapigwa ban. Hamna kitu nyie porojo miiiiiiiingi. Hamna kitu nyie na mamvi wenu kwisha habari yake. Haya ngoja kesho usikie misababu kibaaaao. Kwishaaaaaaaaaaaaaaass
 
Tunapowaita jina la yule mnyama tunapigwa ban. Hamna kitu nyie porojo miiiiiiiingi. Hamna kitu nyie na mamvi wenu kwisha habari yake. Haya ngoja kesho usikie misababu kibaaaao. Kwishaaaaaaaaaaaaaaass
Ufipa kuna bundi
Hahaha
 
Tena wapigwe sana maana tamaa imewazidi wapinzani ni juzi tuu mmetuaminisha mlishinda mkaporwa ushindi tume ile ile mazingira yale yale uchaguzi unaandaliwa mnakimbilia kichwa kichwa bora mmpate mnacho stahili mmezidi tamaa
Yawezekana ukawa unayasema hayo ukiwa kwenye nyumba ya tope subiri siku ukuta ukidondoka maumivu utakayoyapata utatamani hata mtu akupe tone la maji angarau kotomro lako lilowane na hutompata muombe sana mungu akupe hekima na roho ya huruma ili ujitambue ya kuwa hayo unayoshabikia ni sawa na ziro
 
kirahisirahisi hivyo upewe katiba mpya
maendeleo au mabadiliko yoyote yana
gharama zake ambapo hizo gharama
hata hao viongozi wa upinzani huziogopa
hizo gharama

amani huwa haiji hivi hivi bila ncha ya
upan....
Malizia tu uje ugongewe mlango.
 
Unacheza mchezo ambao mwenzio kafungwa kamba miguuni kisha unatamba ushindi si ni ujuha huo? Yaani CCM inafanya mambo ya kijuha na kwa vile imeshazoea inaona ni kawaida tuu.
Eti DED ambaye ndio msimamizi wa uchaguzi anatembelea vituo huku kaongozana na Katibu wa ccm wilaya husika bila hata aibu! Bora kungekuwa na Mungiki huku kwetu nako maana wale wakiwa na pinde zao hawamkosi mtu.

Hayo huwa mnayajua baada ya Matokeo kutoka
 
Na bado hizi ni rasha rasha tu, 2020 tunarudisha majimbo yetu yote, ikiwamo kinondoni, maana mtopea kashashindwa mapema tuu
 
Kuna kundi la Vijana waliotolewa Mwanza,walipelekwa kwa "kisingizio" kuwa wanaenda kwenye sherehe za Muungano,lkn toka 12/01 hawajarudi bara.

Hawa wote wamepiga leo kura huko Dimani na kumpa ushindi mbunge wa CCM...Hata picha zao tunazo.
Wakati mwingine unajiuliza,kwanini wasitangaze tu mfumo wa chama kimoja?Hizi ghalama za uchaguzi za nini?

Na unakuta Ijumaa mtu anakwenda msikitini kuswali na Jumapili mtu anasema mniombee
 
Yawezekana ukawa unayasema hayo ukiwa kwenye nyumba ya tope subiri siku ukuta ukidondoka maumivu utakayoyapata utatamani hata mtu akupe tone la maji angarau kotomro lako lilowane na hutompata muombe sana mungu akupe hekima na roho ya huruma ili ujitambue ya kuwa hayo unayoshabikia ni sawa na ziro
Umepanic
Mbona jamaa kaeleza vizuri
Umemuelewa vibaya.

Cdm mlikalia kick poleni
 
Back
Top Bottom