Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Leo ndo leo uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani Zanzibar na uchaguzi wa madiwani kata 20 Tanzania bara.

Ni chaguzi zitazotoa mwelekeo na mabadiliko na ukubalikaji wa vyama tangu uchaguzi mkuu wa 2015.

Karibuni tupeane updates na matukio yanayojiri huko.

.......Updates...........

* Uchaguzi wa Ubunge unafanyika kwenye jimbo la Dimani, Wilaya ya Magharibi “B”, Mkoa wa Mjini Magharibi – Zanzibar

Uchaguzi wa madiwani unafanyika kwenye kata Ishirini (20) katika Halmashauri Kumi na Tisa (19) za Tanzania Bara, kata hizo ni...

1. Ngarenanyuki (Meru DC, Arusha),
2. Igombavanu (Mufindi DC, Iringa),
3. Ikweha (Mufindi DC, Iringa),
4. Kiwanja cha Ndege (Morogoro MC, Morogoro),
5. Ihumwa(Dodoma MC, Dodoma),
6. Kijichi (Temeke MC, Dar es Salaam),
7. Kahumulwa (Sengerema DC, Mwanza)
8. Maguu (Mbinga DC, Ruvuma),
9. Ng’hambi (Mpwapwa DC, Dodoma),
10. Kimwani (Muleba DC, Kagera),
11. Kinampundu (Mkalama DC, Singida),
12. Isagehe (Kahama TC, Shinyanga),
13. Kasansa (Mpimbwe DC, Katavi),
14. Duru (Babati DC, Manyara),
15. Malya (Kwimba D.C, Mwanza),
16. Misugusugu (Kibaha TC, Pwani),
17. Mateves (Arusha D.C, Arusha),
18. Nkome (Geita DC, Geita),
19. Lembeni (Mwanga DC, Kilimanjaro) na
20. Tanga (Songea MC, Ruvuma)
--
siyoi koroi, Uchaguzi udiwani Kata ya Ngarenanyuki DED na ccm wapora daftari la wapiga kura.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru Bwana Christopher Kazeri anatembelea vituo akiwa ameambatana na viongozi wa ccm.

Sheria za uchaguzi haziruhusu viongozi wa vyama vya siasa kupiga kambi kwenye vituo vya uchaguzi.

Hii imeweza kutokea Ngarenanyuki tu mkurugenzi wa halmashauri ambaye ni msimamizi wa uchaguzu kutembea na viongozi wa ccm.

mkurugenzi akiwa ameambatana na makada wa ccm wamewanyang'anya mawakala wa vyama daftari lenye majina ya wapiga kura.

Safari ya demokrasia kwa nchi yetu bado sana.
Hii haikubaliki popote.

Tume ya taifa ya uchaguzi kwa mtindo huu huu uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.

--
Francis12, UPDATES MCHAGUZI MDOGO JIMBO LA DIMANI Z'BAR.

Kumetokea mgogoro kati ya mawakala wa CUF na Askari Polisi. Hali hii imepelekea mawakala wa CUF kuondolewa kwa nguvu kwenye vyumba vya kupigia kura na hivyo mawakala wa CCM kubaki peke yao.

Sababu za mgogoro huu ni kama ifuatavyo:

-Mawakala wa CUF amegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tiki kwa mgombea wa CCM.

-Mawakala wa CUF wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na wameruhusiwa kupiga licha ya majina yao kukosekana kwenye daftari.

-Chumba number 6 kituo cha Kibondeni, imegundilikana kwamba masunduku yote yaliyopo yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tayari.

-Wapiga kura wengi jimbo la Dimani ni hewa.

-Police wameanza kupiga watu maeneo ya Fuoni kituo cha Kibondeni baada ya watu hao kudai kuna kura feki kwenye kituo hicho.

-Katika kituo hicho cha Fuoni mabasi yamekua yakisomba watu na kuwaleta kupiga kura. Watu hao si wakazi wa jimbo la Dimani. Picha hapo chini inaonesha moja ya mabasi yanayotumika kusomba watu na kuwapeleka vituoni kupiga kura.
Ccm wameishiwa pumzi
 
Wajifanya mtani wakati wajenga uadui. Ukipanda upepo, utavuna kimbunga
Kwikwikwi. Mchezo huu hauhitaji hasira. Tulia tu sindano iingie vizuri mtani wangu wa chama kilichoishiwa pumzi. Kwikwikwikwi. CCM oyeee!
 
Kwikwikwikwi. Hizo kauli za mtu aliyeshindwa. Kwikwikwikwi, mfa maji lazima atapetape. CCM juu juu juu zaidi.
Sawa kabisa juu juu zaidi. Lakini ukiona mtu anajisifu kwa uhalifu ujue tayari kichwani hayuko sawa. Utafika wakati vichwa vitatenganishwa na miili. Yametokea sehemu nyingi duniani na watu walikebehi kama ufanyavyo kabla.
 
Si rahisi ccm kushinda bila dola wanajiandalia kupendwa kwa lazima wakati wanajua hawapendwi hivyo vikata 22 haviwasaidii kwa sababu uchaguzi mkuu hawakatizi
 
Nimetoka kupiga kura Kijichi hapa kama lisaa lililopita. Muitikio ni mdogo. Nilifuatilia kampeni. Nimeipigia Chadema. Ila upepo mgumu, possibility ya CCM kushinda ni kubwa. Upinzani unagawana kura. Kwa hiyo Ushindi huku kwa upinzani utakua Muujiza sana.
 
Mwisho wa mchezo tutatangaziwa ccm imeshinda kwa kishindo kata zote na hii inadhihirisha kukubalika na kuaminika kwa serikali ya mtukufu...pfyuuuuuu....my foot
 
Hakika uchaguzi wa Dimani ccm imeumbuka vibaya sana ! Sasa nimeamini kwa Zanzibar ccm haipo na bila msaada wa polisi ingebaki stori .
 
Leo ndo leo uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani Zanzibar na uchaguzi wa madiwani kata 20 Tanzania bara.

Ni chaguzi zitazotoa mwelekeo na mabadiliko na ukubalikaji wa vyama tangu uchaguzi mkuu wa 2015.

Karibuni tupeane updates na matukio yanayojiri huko.

.......Updates...........

* Uchaguzi wa Ubunge unafanyika kwenye jimbo la Dimani, Wilaya ya Magharibi “B”, Mkoa wa Mjini Magharibi – Zanzibar

Uchaguzi wa madiwani unafanyika kwenye kata Ishirini (20) katika Halmashauri Kumi na Tisa (19) za Tanzania Bara, kata hizo ni...

1. Ngarenanyuki (Meru DC, Arusha),
2. Igombavanu (Mufindi DC, Iringa),
3. Ikweha (Mufindi DC, Iringa),
4. Kiwanja cha Ndege (Morogoro MC, Morogoro),
5. Ihumwa(Dodoma MC, Dodoma),
6. Kijichi (Temeke MC, Dar es Salaam),
7. Kahumulwa (Sengerema DC, Mwanza)
8. Maguu (Mbinga DC, Ruvuma),
9. Ng’hambi (Mpwapwa DC, Dodoma),
10. Kimwani (Muleba DC, Kagera),
11. Kinampundu (Mkalama DC, Singida),
12. Isagehe (Kahama TC, Shinyanga),
13. Kasansa (Mpimbwe DC, Katavi),
14. Duru (Babati DC, Manyara),
15. Malya (Kwimba D.C, Mwanza),
16. Misugusugu (Kibaha TC, Pwani),
17. Mateves (Arusha D.C, Arusha),
18. Nkome (Geita DC, Geita),
19. Lembeni (Mwanga DC, Kilimanjaro) na
20. Tanga (Songea MC, Ruvuma)
--
siyoi koroi, Uchaguzi udiwani Kata ya Ngarenanyuki DED na ccm wapora daftari la wapiga kura.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru Bwana Christopher Kazeri anatembelea vituo akiwa ameambatana na viongozi wa ccm.

Sheria za uchaguzi haziruhusu viongozi wa vyama vya siasa kupiga kambi kwenye vituo vya uchaguzi.

Hii imeweza kutokea Ngarenanyuki tu mkurugenzi wa halmashauri ambaye ni msimamizi wa uchaguzu kutembea na viongozi wa ccm.

mkurugenzi akiwa ameambatana na makada wa ccm wamewanyang'anya mawakala wa vyama daftari lenye majina ya wapiga kura.

Safari ya demokrasia kwa nchi yetu bado sana.
Hii haikubaliki popote.

Tume ya taifa ya uchaguzi kwa mtindo huu huu uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.

--
Francis12, UPDATES MCHAGUZI MDOGO JIMBO LA DIMANI Z'BAR.

Kumetokea mgogoro kati ya mawakala wa CUF na Askari Polisi. Hali hii imepelekea mawakala wa CUF kuondolewa kwa nguvu kwenye vyumba vya kupigia kura na hivyo mawakala wa CCM kubaki peke yao.

Sababu za mgogoro huu ni kama ifuatavyo:

-Mawakala wa CUF amegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tiki kwa mgombea wa CCM.

-Mawakala wa CUF wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na wameruhusiwa kupiga licha ya majina yao kukosekana kwenye daftari.

-Chumba number 6 kituo cha Kibondeni, imegundilikana kwamba masunduku yote yaliyopo yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tayari.

-Wapiga kura wengi jimbo la Dimani ni hewa.

-Police wameanza kupiga watu maeneo ya Fuoni kituo cha Kibondeni baada ya watu hao kudai kuna kura feki kwenye kituo hicho.

-Katika kituo hicho cha Fuoni mabasi yamekua yakisomba watu na kuwaleta kupiga kura. Watu hao si wakazi wa jimbo la Dimani. Picha hapo chini inaonesha moja ya mabasi yanayotumika kusomba watu na kuwapeleka vituoni kupiga kura.
CCM ni zaidi ya shetani wanakaba hadi penati za wapinzani.
 
Si rahisi ccm kushinda bila dola wanajiandalia kupendwa kwa lazima wakati wanajua hawapendwi hivyo vikata 22 haviwasaidii kwa sababu uchaguzi mkuu hawakatizi
Ukishindwa kuwazuia kwa kata hizo 20 uchaguzi Mkuu utawezaje??
 
Kwa hali kama hii ni heri CCM wangejitangazia utawala wa maisha likajulikana moja,kuliko kudanganya kuwa nchi ni ya kidemokrasia,lakini kinapofikia kipindi cha kupiga kura,wananchi wanaacha kazi zao wanakwenda kumchagua kiongozi wanayemtaka,lakini CCM wanatwaa haki za wananchi kwa kuwachagulia kiongozi ambaye hawakumtaka,huku kodi zao zikiwa zimetumika kwa maandalizi ya uchaguzi.
 
Maccm watajitahidi kujionesha wao ndio wa jjuu katika marudio ya chaguzi hizi zinazoendelea leo kote Nchini.

Lakini ukweli utabakia tangu uchaguzi wa Octoba 2015 CCM IMEKUFA imebaki na WIZI WA KURA TU.
2020 SIO MBALI KWA JINSI MAGUFULI ANAVYOTOKA KWA MANENO NA MATENDO YAKE SADUKU LA KURA LITAWAUMBUA VIBAYA MNO.
 
Hakika uchaguzi wa Dimani ccm imeumbuka vibaya sana ! Sasa nimeamini kwa Zanzibar ccm haipo na bila msaada wa polisi ingebaki stori .
Haya Ndio maneno ya wapinzani always nilimsikia Trump juz akisema "Time for empty talks is over" lakini kwetu bado sana
 
Back
Top Bottom