Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Haya ndio yaliyojiri uchaguzi wa Dimani Zanzibar!!! Wakati mwengine M/Mungu akitaka kukuaibisha basi unakosa kichaka cha kujifichia, inawezekana wapi ufanyike uchaguzi halafu ikosekane kura hata moja iliyoharibika!!!!!!????
FB_IMG_1485144801415.jpg

Mambo hayakuishia hapo tu!!! Wapiga kura wa Dimani kabla ya kuelekea kituo cha kupiga kura wote walipita saloon kuweka mchicha kichwani na kupiga moka huku walipokuwa katika foleni wakawa wanaficha sura zao zisitambulike
FB_IMG_1485144735699.jpg
FB_IMG_1485144735699.jpg

Na mwisho hii ndio silaha yao nyengine waliyotumia hawa nguruwe pori kulazimisha ushindi kwa nzi wao wakijani



Kwa hali kama hii halafu atokezee chokostic mmoja aje kuwaponda Mh. Lowassa na maalim Seif kutokana na matokeo ya Uchafuzi uliofanyika Jana!!! CCM bila ya kuyafanya haya na kuwatumia wale wasiojielewa na kulitambua ni lipi jukumu lao basi siku zote tutaendelea kufanya Uchafuzi ambao unatumia gharama kubwa za kodi za wananchi.
 
  • Thanks
Reactions: bne
Huna akili nzuri hata kidogo hakuna MTU mwema ccm hata 1 ukizingatia kwa upuuzi wanaotufanyia jk ndio chanzo cha haya yote
 
Mabasi yamepeleka watu, box zina kura tayari, watu wanatishiwa kupigwa, mawakala wa vyama vingine wametolewa nje wataacha kuwa na kura nyingi? (hawajashinda wamelaghai)
Tanzania hakuna free and fair election HAKUNA!!!!
Bila kukinukisha hao wapuuzi wataendelea huo ujinga kwa sababu wanasaidiwa na polisi.
 
Huu uchaguzi tutegemee style za kawaida za CCM. Uchaguzi danganya toto tu hauna faida kwa waliowengi.
 
Siku zote ukitaka kumtawala MTU mnyime elimu maana hatazijua haki sake kama raia
 
UKAWA mumeshindwa vibaya mno hadi aibu duh 2020 mjiandae tena
 
Bado kuna baadhi ya wananchi na hasa wapinzani wanaamini kama mabadiliko Tanzania yataletwa na waliokuwa viongozi wakuu waandamizi ndani ya CCM na serikali ya CCM ambao ni Edward Lowassa na Maalim Seif.

Ikumbukwe kuwa Lowassa na Maalim Seif wanalishwa, kuvalishwa na kulindwa na serikali ya CCM. Hii ina maana na mantiki kubwa sana kwenye siasa za nchi za Afrika. Yaani wanakaa kupanga mikakati ya kuiangusha serikali ya CCM huku wakilindwa na maofisa waliotumwa kufanya kazi na Rais.

Aliyewahi kusema ‘’wajinga ndio waliwao’’ hakukosea kwa sababu hata Tanzania katika uwanja wa siasa kuna wajinga wengi sana ambao ''wanaliwa'' na baadhi ya wanasiasa ambao ni political entrepreneur.

Nilikuwa ninashangaa na kucheka kila nikisoma mabandiko ya baadhi ya watu wakisema ‘’Uchaguzi mdogo wa ubunge na madiwani katika kata 20 ni kipimo cha uongozi wa Rais Magufuli’’.

Nikawa ninajiuliza, kama chaguzi ndogo ndio mizani ya kipimio cha utendaji wa Rais Magufuli kwa kutumia mawe ya mizani yanayoitwa Lowassa na Maalim Seif, basi itakuwa ni kupoteza muda kwa sababu haya mawe hayafai kutumika katika mizani. Haya ni mawe ya kugushi (fake).

Matokeo ya Uchaguzi mdogo wa Mbunge na Udiwani katika kata 20 tumeyasikia na kuyaona. Ni kipigo na kilio kwenye kambi za upinzani.

Ninafahamu kuna baadhi ya watu watakuja na nyimbo zenye chorus zinazosema uchaguzi haukuwa huru na haki kama vile wanalazimishwa kuingia kwenye chaguzi.

Mwaka 2015 wakati vyama vya upinzani vinapanga mkakati wa kukabiliana na CCM, Lowassa alijitokeza na kuwaambia kazi hiyo wamwachie yeye, wao kazi yao iwe ni kupiga kura na kurudi nyumbani. Matokeo yake tunayafahamu.

Huko Zanzibar, wakati CUF inaendelea kufanya vizuri wakati wa zoezi la kuhesabu kura, Maalim Seif alijitokeza na kuvuluga uchaguzi baada ya kujitangaza mshindi kinyume cha sheria ya uchaguzi. Yaliyojiri baadaye ni historia.

Kwa sasa Maalim Seif amewashawishi tena CUF waingie kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Dimani, Zanzibar wakati huku Bara, Lowassa akiwashawishi CHADEMA waingie tena kwenye uchaguzi wa madiwani wakati hawajajipanga ipasavyo. Matokeo yake tumeyaona. Wamepata kipigo kama cha mwizi!

Waingereza hupenda kusema, “It is difficult to see the picture when you are inside of the frame.”

Wajinga wataendelea kuimba Mabadiliko Lowassa, Lowassa Mabadiliko huku CCM ikiendelea kuwapa kipigo cha kisiasa katika chaguzi mbali mbali.
Leo ndo leo uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani Zanzibar na uchaguzi wa madiwani kata 20 Tanzania bara.<br /><br />Ni chaguzi zitazotoa mwelekeo na mabadiliko na ukubalikaji wa vyama tangu uchaguzi mkuu wa 2015.<br /><br />Karibuni tupeane updates na matukio yanayojiri huko.<br /><br /><b>.......Updates...........</b><br /><br />* Uchaguzi wa Ubunge unafanyika kwenye jimbo la Dimani, Wilaya ya Magharibi “B”, Mkoa wa Mjini Magharibi – Zanzibar<br /><br />Uchaguzi wa madiwani unafanyika kwenye kata Ishirini (20) katika Halmashauri Kumi na Tisa (19) za Tanzania Bara, kata hizo ni...<br /><br />1. Ngarenanyuki (Meru DC, Arusha),<br />2. Igombavanu (Mufindi DC, Iringa),<br />3. Ikweha (Mufindi DC, Iringa),<br />4. Kiwanja cha Ndege (Morogoro MC, Morogoro),<br />5. Ihumwa(Dodoma MC, Dodoma),<br />6. Kijichi (Temeke MC, Dar es Salaam),<br />7. Kahumulwa (Sengerema DC, Mwanza)<br />8. Maguu (Mbinga DC, Ruvuma),<br />9. Ng’hambi (Mpwapwa DC, Dodoma),<br />10. Kimwani (Muleba DC, Kagera),<br />11. Kinampundu (Mkalama DC, Singida),<br />12. Isagehe (Kahama TC, Shinyanga),<br />13. Kasansa (Mpimbwe DC, Katavi),<br />14. Duru (Babati DC, Manyara),<br />15. Malya (Kwimba D.C, Mwanza),<br />16. Misugusugu (Kibaha TC, Pwani),<br />17. Mateves (Arusha D.C, Arusha),<br />18. Nkome (Geita DC, Geita),<br />19. Lembeni (Mwanga DC, Kilimanjaro) na<br />20.Uchaguzi udiwani Kata ya Ngarenanyuki DED na ccm wapora daftari la wapiga kura

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru Bwana Christopher Kazeri anatembelea vituo akiwa ameambatana na viongozi wa ccm.Sheria za uchaguzi haziruhusu viongozi wa vyama vya siasa kupiga kambi kwenye vituo vya uchaguzi.Hii imeweza kutokea Ngarenanyuki tu mkurugenzi wa halmashauri ambaye ni msimamizi wa uchaguzu kutembea na viongozi wa ccm.<br /><br />mkurugenzi akiwa ameambatana na makada wa ccm wamewanyang'anya mawakala wa vyama daftari lenye majina ya wapiga kura.<br /><br />Safari ya demokrasia kwa nchi yetu bado sana.<br />Hii haikubaliki popote.<br /><br />Tume ya taifa ya uchaguzi kwa mtindo huu huu uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki.<br /><br />--<br /><b>Francis12</b>, <font color="[HASHTAG]#b30000[/HASHTAG]">UPDATES MCHAGUZI MDOGO JIMBO LA Kumetokea mgogoro kati ya mawakala wa CUF na Askari Polisi. Hali hii imepelekea mawakala wa CUF kuondolewa kwa nguvu kwenye vyumba vya kupigia kura na hivyo mawakala wa CCM kubaki peke yao.Sababu za mgogoro huu ni kama ifuatavyo:Mawakala wa CUF amegundua baadhi ya masanduku yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tiki kwa mgombea wa CCM.-Mawakala wa CUF wamegundua kuwa kuna watu hawamo ndani ya daftari la kupiga kura ila wamekuja kupiga kura na wameruhusiwa kupiga licha ya majina yao kukosekana kwenye daftar


i.Chumba number 6 kituo cha Kibondeni, imegundilikana kwamba masunduku yote yaliyopo yamejazwa kura ambazo zimeshapigwa tayari.Wapiga kura wengi jimbo la Dimani ni hewa.

Police wameanza kupiga watu maeneo ya Fuoni kituo cha Kibondeni baada ya watu hao kudai kuna kura feki kwenye kituo hicha.Katika kituo hicho cha Fuoni mabasi yamekua yakisomba watu na kuwaleta kupiga kura. Watu hao si wakazi wa jimbo la Dimani. Picha hapo chini inaonesha moja ya mabasi yanayotumika kusomba watu na kuwapeleka vituoni kupiga kura






USHABIK MBAYA SANA UPO JF WENZIO WAPO VITUON
 
Asilimia kubwa ya vijana wanao shabikia ccm wanakuwa na upungufu wa homoni fulani hivi kwa wingi (kwa wanaume)
Kitu kinachowafanya muda wote kuchekacheka hovyo na hupenda sana kukaa saloni za kike kupiga umbea ..
Hawa vijana hawafanyagi kazi kabisa,mara nyingi hushinda lumumba kusubiria mgao wa buku( )
Naongea hivi kutokana na experience yangu ya kukaa na watu tofauti tofauti hapa bongo

*kwa ujumla tabia zao ni kama vile;*
-kupenda vya bure
-hawapendi kujitegemea
-asilimia kubwa ya vijana(wa kiume) wanapenda kukaa saloni za kike kupiga umbea
-wanadeka kwa wazazi wao
-wanapenda kufanya kitu ili kuwafurahisha wakubwa zao. Hata Kama hajui anachokifanya
-wengi wana mapungufu fulani hivi (mabwa.bwa) kwa watoto wa kiume ........and so on...
Nikisema niweke picha humu nahisi watanimeza
Pia sishabikii chama chochote ili nipate slope!!![emoji28]
Samahani lakini kama nimewachoma ila nimeongea ukweli
Hizi ni ngojera tu ambazo zimezoeleka pamoja na kwamba zinashabikiwa na wale wenye fikra finyu.
 
Mleta mada upo sahihi.Unaporomoka sana,lazima wajipange upya.Kumbe CCM bado ni chama pendwa na chenye nguvu.Humu JF siyo pa kufanyia sampling.Hizi 'chaguzi'za jana moyo wangu ulikuwa kifuani nilivyokuwa nalinganisha na nilichokuwa nakisoma humu kwenye Foramu.Magufuli yuko vizuri.
 
Back
Top Bottom